Jamani...Nauliza tu

Jamani...Nauliza tu

Nyamayao...we dont change winning teams....sasa kama kijana nafanikiwa kwa nini abadilishe mbinu?
BTW: siku hizi hakuna kutongoza..

akifanikiwa kwa gia hiyo lazima anawakamata wale wajinga wajinga, na uzee wangu shem wako hakuja na gia hiyo, yaani hiyo ni 50's
 
mhh dearest...ktk wanaume wote humu ndani ukamuona huyo mzee, hebu huko ucnitie aibu mie dadako! ruka na Kimey, Finest,Roy...au hujui uzee unaambukiza?

Ngoja niangalie uwezekano wa kufanya logistics ili tufanye ze nid ful
 
mhh dearest...ktk wanaume wote humu ndani ukamuona huyo mzee, hebu huko ucnitie aibu mie dadako! ruka na Kimey, Finest,Roy...au hujui uzee unaambukiza?

The younger the better....:A S thumbs_up:....
Hivi uzee unaanzia nondo ngapi tena?
 
mhh dearest...ktk wanaume wote humu ndani ukamuona huyo mzee, hebu huko ucnitie aibu mie dadako! ruka na Kimey, Finest,Roy...au hujui uzee unaambukiza?
Ahsante mamie kwa kujali maslahi yangu! Hao wapwa wawili naangalia uweekano wa kukaa kama kamati waniachie mie!
 
nyamayao ng'ombe hazeeki maini

So Babu yangu is still faaaar younger bana ndio kwanza anaanza kupata magego!!

Afu mjukuu usisahau kucha zangu zimeshaota tena, uje un'kate.:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
Ile familia yetu kubwa?

Hapana, ndio kwanza familia inakua. Mjukuu wangu bado hajafikia umri wa kuingia familia yenu (Tafadhali usimwambie mwenyekiti, atanifukuza uanachama):A S 103::A S 103::A S 103::A S 103:
 
Mpaka hapa nimepoteza muelekeo ..mwongozo nini kinajadiliwa sasa?
 
Back
Top Bottom