bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
mkuu cheki hapa chini
my briliant B!!
na huyo Fidel80 ni nini sasa??? mpwa anapenda vya watu huyu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu cheki hapa chini
i see kumbe bado upo upo kwanza!!!
Pasha maji ya moto yawe ya vugu vugu kidogo kisha kanda kwa kitambaa hicho kiuno rudia zoezi hilo kama mara 3 au 4 kisha simama juu chuchumaa,simama juu chumaa rudia zoezi hili kama mara 5 leo bia usinywe.
bado cjaolewa but naamini Mungu atanipa ubavu wangu wa milele
Twini zis pipo bana ni so me hata cjui nn kinaendelea nahisi nimechanganyikiwa kwanza nimezidiwa nao,natoka mm
naona umesahau kuwa mimi ni BWANA-HARUSI😀😀Bwashee! Umesahau unammiliki dada yangu kabisa? Sasa vipi tena?
Hivi mpwa uligradyueti mwaka mmoja pale MUCHS na Dr. Kaizer?I see kumbe bado upo upo kwanza!!!
Pasha maji ya moto yawe ya vugu vugu kidogo kisha kanda kwa kitambaa hicho kiuno rudia zoezi hilo kama mara 3 au 4 kisha simama juu chuchumaa,simama juu chumaa rudia zoezi hili kama mara 5 leo bia usinywe.
Thx ntafanya hivyo sinywi pombe mm ni soda tuuuuu
Oups! Mi kweli mgumu kuelewa afu mwepesi kusahau!naona umesahau kuwa mimi ni MDUMISHA MILA😀😀
Thx ntafanya hivyo sinywi pombe mm ni soda tuuuuu
hahahahaha!hebu ka-editi kule wewe!MIMI NI BWANA HARUSIOups! Mi kweli mgumu kuelewa afu mwepesi kusahau!
Hivi mpwa uligradyueti mwaka mmoja pale MUCHS na Dr. Kaizer?
We acha kudanganya wenzio. We kiuno chako si kilitegukia Tanga? Style nyingine waachie watu Wa Chuda wenyewe! Au Push Up gani unazozungumzia wewe?Ok afadhari hunywi lakini naamini kesho utanipa jibu zuri la hili zoezi nililo kupa.
Unajua kuna misuli flani imekubana hii hata mm inanitokea sana nikikaa mda mrefu bila kupiga push up.
sawa Twinuska nakumbuka nimeacha sasa ningesema maji si angekata kunipa japo ka ofa?
Sikujua nawe siku hizi ni daktari Mamushka! LOLZ! Hii fani kweli imeingiliwa!kunywa maji soda si nzuri kwa afya....
mama si alitukataza wewe??
Nilishahama kwa Shigongo, saizi niko FEMINA!hahahahaha!hebu ka-editi kule wewe!MIMI NI BWANA HARUSI
Malizia kabisa: Huyu ni Women Physiotherapist!huyu alinitangulia kidogo yeye..amebobea zaidi kwenye physiotherapy!
Sasa soda ndio umeona dili? Sema bia uone utakavyomiminiwa maofa!sawa Twinuska nakumbuka nimeacha sasa ningesema maji si angekata kunipa japo ka ofa?
na huyo Fidel80 ni nini sasa??? mpwa anapenda vya watu huyu!!!
Hivi mpwa uligradyueti mwaka mmoja pale MUCHS na Dr. Kaizer?
We kiuno chako si kilitegukia Tanga? Style nyingine waachie watu Wa Chuda wenyewe! Au Push Up gani unazozungumzia wewe?
Ile style mkuu haikutegua kiuno, kwa vile huwa nakuchunguka sana nikikaa mda mrefu sana pila kupiga push up misuli huwa inavuta, unamaana mpwa push up huzijui? Umesona International nn?
hahahahaha...hahahahaha😀😀😀 mpwa hapo umeua kabisa