Jamani naumwa

Jamani naumwa

Thx ntafanya hivyo sinywi pombe mm ni soda tuuuuu
i see kumbe bado upo upo kwanza!!!
Pasha maji ya moto yawe ya vugu vugu kidogo kisha kanda kwa kitambaa hicho kiuno rudia zoezi hilo kama mara 3 au 4 kisha simama juu chuchumaa,simama juu chumaa rudia zoezi hili kama mara 5 leo bia usinywe.
 
I see kumbe bado upo upo kwanza!!!
Pasha maji ya moto yawe ya vugu vugu kidogo kisha kanda kwa kitambaa hicho kiuno rudia zoezi hilo kama mara 3 au 4 kisha simama juu chuchumaa,simama juu chumaa rudia zoezi hili kama mara 5 leo bia usinywe.
Hivi mpwa uligradyueti mwaka mmoja pale MUCHS na Dr. Kaizer?
 
Thx ntafanya hivyo sinywi pombe mm ni soda tuuuuu

Ok afadhari hunywi lakini naamini kesho utanipa jibu zuri la hili zoezi nililo kupa.
Unajua kuna misuli flani imekubana hii hata mm inanitokea sana nikikaa mda mrefu bila kupiga push up.
 
Ok afadhari hunywi lakini naamini kesho utanipa jibu zuri la hili zoezi nililo kupa.
Unajua kuna misuli flani imekubana hii hata mm inanitokea sana nikikaa mda mrefu bila kupiga push up.
We acha kudanganya wenzio. We kiuno chako si kilitegukia Tanga? Style nyingine waachie watu Wa Chuda wenyewe! Au Push Up gani unazozungumzia wewe?
 
sawa Twinuska nakumbuka nimeacha sasa ningesema maji si angekata kunipa japo ka ofa?
 
sawa Twinuska nakumbuka nimeacha sasa ningesema maji si angekata kunipa japo ka ofa?

Twin sikujua wapwazz an Binamuz ni madaktari bingwa loh!!!!!
hazina iliyofichika hii eeeh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kunywa maji soda si nzuri kwa afya....
mama si alitukataza wewe??
Sikujua nawe siku hizi ni daktari Mamushka! LOLZ! Hii fani kweli imeingiliwa!

hahahahaha!hebu ka-editi kule wewe!MIMI NI BWANA HARUSI
Nilishahama kwa Shigongo, saizi niko FEMINA!

huyu alinitangulia kidogo yeye..amebobea zaidi kwenye physiotherapy!
Malizia kabisa: Huyu ni Women Physiotherapist!

sawa Twinuska nakumbuka nimeacha sasa ningesema maji si angekata kunipa japo ka ofa?
Sasa soda ndio umeona dili? Sema bia uone utakavyomiminiwa maofa!
 
na huyo Fidel80 ni nini sasa??? mpwa anapenda vya watu huyu!!!

Angalia sasa umesha kuingia kwenye anga zangu huyu kasema yupo singo na anahitaji tiba kiuno kinaumwa ww unaanza kupeleka fikra Unguja haya basi twende Pemba.
Hivi mpwa uligradyueti mwaka mmoja pale MUCHS na Dr. Kaizer?

Nilimtangulia kidogo, nipo haswa kwenye magonjwa ya kina mama wenye matatizo wanione.

We kiuno chako si kilitegukia Tanga? Style nyingine waachie watu Wa Chuda wenyewe! Au Push Up gani unazozungumzia wewe?

Ile style mkuu haikutegua kiuno, kwa vile huwa nakuchunguka sana nikikaa mda mrefu sana pila kupiga push up misuli huwa inavuta, unamaana mpwa push up huzijui? Umesona International nn?
 
Pole sana MUM.. Mwombe sana MUUMBA naye atakusikia. ATAKUPONYA tu.
 
Ile style mkuu haikutegua kiuno, kwa vile huwa nakuchunguka sana nikikaa mda mrefu sana pila kupiga push up misuli huwa inavuta, unamaana mpwa push up huzijui? Umesona International nn?

hahahahaha...hahahahaha😀😀😀 mpwa hapo umeua kabisa
 
hahahahaha...hahahahaha😀😀😀 mpwa hapo umeua kabisa

Hahahahaha mlio soma kwa St.Kayumba hili neno push up sio geni jamani.
Ukichelewa adhabu unapewa hiyo ya push up ama unainama na kushika masikio.
 
Back
Top Bottom