Jamani naumwa

Jamani naumwa

Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni

Pole sana mdogo wangu (blue). Jaribu kukimbilia kwa daktari upate matibabu.

Parental guidance inaweza kuhitajika hapo kwenye red.

Get well soon,

Mzee DC.
 
kwetu tunamtambua AK kama mchumba halali wa twinushka wangu.......

Dah kumbe AK ndo mmiliki wa ndoto ndo maana anajituma kweli hapa lakini binti anasisitizi yupo singo huyu AK ni mshika mapembe tu we mwache aendelee kuyashikilia yamchome.

unaenda wapi???
clear this mess here na Fidel ndo uende usijifanye kuzidiwa hapa.....
Masanilo is here for you ni Dr. bingwa huyu

Ndo hivyo mtoto katangulia naenda kukutana nae pale kwa ankal we karagha baho na roho ya kwa nn.
 
Pearl hebu achana na hao washauri na madakitari viwembe,kwanza pole sana kwa kuumwa katika hali isiyo ya kawaida tambua mara nyingi mvua huambatana na mapepo,kama bado hujapata kanafuu njoo nikuangushie maombi ya nguvu utapona tu hizo ni ngurumo za shetani tu,njoo kwa pasta Mkulumba sana utapona baada ya maombi yasiyozidi lisaa limoja tu binti
 
unaenda wapi???
clear this mess here na Fidel ndo uende usijifanye kuzidiwa hapa.....
Masanilo is here for you ni Dr. bingwa huyu

shem naomba umsamehe twin wako akapumzike, kiuno kimembana sana.kuna dawa pia anapitia pharmacy ndo maana kawahi kutoka.......... hao ma-Dr bingwa atawakonsalti kesho, nitamkumbusha mwenyewe............
 
Dah kumbe AK ndo mmiliki wa ndoto ndo maana anajituma kweli hapa lakini binti anasisitizi yupo singo huyu AK ni mshika mapembe tu we mwache aendelee kuyashikilia yamchome.



Ndo hivyo mtoto katangulia naenda kukutana nae pale kwa ankal we karagha baho na roho ya kwa nn.

shem naomba umsamehe twin wako akapumzike, kiuno kimembana sana.kuna dawa pia anapitia pharmacy ndo maana kawahi kutoka.......... hao ma-Dr bingwa atawakonsalti kesho, nitamkumbusha mwenyewe............

mie sina roho ya kwanini mpwa, moyo wangu kwatuuuu maana najua tumetulia wapi mie na twin wangu!!!
BTW: Mbona unatuganda ukoo wetu tu?? duh sema unachelewaga, unavuta shuka asubuhi wewe...

nimekusoma shem, asante kwa taarifa!!! huyu Fide alikuwa ananizingua hapa....
 
Pole sana mamii. Maumivu ya kiuno nadhani ni tatizo la kukaa muda mrefu,jaribu kwa siku chache kutokaa kitini uone matokeo yake,nadhani yatakuwa mazuri.
 
Vichomi mbali mbali mwilini vinasababishwa na mambo mengi. Inawezekana una matatizo ya kiafya ambayo hujawahi kuyagundua. Amueba, tyhode, Nemonea ya mapafu, TB, vindonda vya tumbo, Asid nyingi mwilini, alchol ya kupindukia, pumu, kutumia feni usiku kucha n.k vyote huleta kichomi. Cha msingi wewe nenda hospitali ufanye check up ya mwili mzima ili kujua panapouma. Vichomi ukivizembe vinaua ila vinasababishwa na ugonjwa fulani. Wewe kapime ili ujue una tatizo gani, usibanie hela kwani haina thamani yeyote kama haiwezi kukusaidia kiafya.

Kuhusu kiuno, sijajua kama ulipata ajali, kudondoka vibaya au una uzito kupita kiaasi au unakaa muda mrefu bila kunyanyuka, kubeba vitu vizitio kupita kiasia au unzee. Kama uzito umezidi inabidi uanze kazi ya kupunguza uzito, pia kuna ungonjwa wa romatism unasumbua sana miguu, pia husumbua mifupa na kiuno, unasababishwa na baridi kali pamoja na unywaji wa pombe na nyama nyekundu. Viangalie vyote hivi.

Kama upo Dar, pale Sinza katikati ya kwa Remi na Mori kuna clinic moja inaitwa ALT, wantoa vipimo na matibabu mazuri sana, wanatumia technologia ya Ujerumani ya Formula za water therap
 
pole pearl kwa kuumwa!kwa kweli mimi ushauri wangu ni kwenda kumuona daktari!get well soon dear!
 
Thx dia naendelea vzr leo nimepona kiasi,ndio nina vidonda vya tumbo
Vichomi mbali mbali mwilini vinasababishwa na mambo mengi. Inawezekana una matatizo ya kiafya ambayo hujawahi kuyagundua. Amueba, tyhode, Nemonea ya mapafu, TB, vindonda vya tumbo, Asid nyingi mwilini, alchol ya kupindukia, pumu, kutumia feni usiku kucha n.k vyote huleta kichomi. Cha msingi wewe nenda hospitali ufanye check up ya mwili mzima ili kujua panapouma. Vichomi ukivizembe vinaua ila vinasababishwa na ugonjwa fulani. Wewe kapime ili ujue una tatizo gani, usibanie hela kwani haina thamani yeyote kama haiwezi kukusaidia kiafya.

Kuhusu kiuno, sijajua kama ulipata ajali, kudondoka vibaya au una uzito kupita kiaasi au unakaa muda mrefu bila kunyanyuka, kubeba vitu vizitio kupita kiasia au unzee. Kama uzito umezidi inabidi uanze kazi ya kupunguza uzito, pia kuna ungonjwa wa romatism unasumbua sana miguu, pia husumbua mifupa na kiuno, unasababishwa na baridi kali pamoja na unywaji wa pombe na nyama nyekundu. Viangalie vyote hivi.

Kama upo Dar, pale Sinza katikati ya kwa Remi na Mori kuna clinic moja inaitwa ALT, wantoa vipimo na matibabu mazuri sana, wanatumia technologia ya Ujerumani ya Formula za water therap
 
Thx dia kwa sala kwakweli leo niko fit kabsaaaaaaaaaa,duh ww i noma

Nafarijika kusikia unaendelea vizuri lakini ukiona dalili za mawingu mtafute mapema AK uwe nae karibu.

Thx dia naendelea vzr leo nimepona kiasi,ndio nina vidonda vya tumbo

Pole kwa ugonjwa mwingine vp nao utataka tiba mbadala.
Vp ulifanya yale tuliyo kuelekeza ?
 
Twin am bak bana nilikuwa napitia dawa famas,now am beta kiasi,maana ushauri wa Dr Geoff,Dr Xpin,Dr fidel,Dr kaizer,Dr Masa and other Private doctors,(bBabu etc)not forgeting the aza peshent wenzangu aand Mostly you my lovely n caring Nas!LEO NINA NAFUUUUUU SANA
unaenda wapi???
clear this mess here na Fidel ndo uende usijifanye kuzidiwa hapa.....
Masanilo is here for you ni Dr. bingwa huyu
 
eeeh nilifanya kama mlivyosema tena bila kukosea step,thx alot swty leo bomba sana
Nafarijika kusikia unaendelea vizuri lakini ukiona dalili za mawingu mtafute mapema AK uwe nae karibu.



Pole kwa ugonjwa mwingine vp nao utataka tiba mbadala.
Vp ulifanya yale tuliyo kuelekeza ?
 
Back
Top Bottom