hahahahaha...hahahahahaπππ mpwa hapo umeua kabisa
Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni
Mwenye fani kaingia ngoja nisepe!Kwani hauko nyotani? ama jana usiku U did that I wouldn't do?
Kwani hauko nyotani? ama jana usiku U did that I wouldn't do?
Kwani hauko nyotani? ama jana usiku U did that I wouldn't do?
Mpwa anasema yupo singo nimemwambia misuli imebana na nimemweleza jinsi ya kufanya.
singo but not searching jamani mweeeee!!!Mpwa anasema yupo singo nimemwambia misuli imebana na nimemweleza jinsi ya kufanya.
Thats my mamushka! LOLZ!singo but kiuno kinamuuma jamani mweeee!!!
I dnt play zoz gems bana,wala siko nyotani
Hahahaahha mambo ya Zantel sorry I meant tiGo
singo but not searching jamani mweeeee!!!
am out
am out
Eti?Kwani hauko nyotani? ama jana usiku U did that I wouldn't do?
Huyu namuaminia Pearl, msikilize kwa makini ufuate ushauri wake.hahaaaaaa Dr mwingine huyu hapa
kazi kwer kwer!!!!!
Umemuelewa?Hahahaahha mambo ya Zantel sorry I meant tiGo
Umeona sasa. Sasa pata ushauri bora zaidi hapa chini! Which games are you playing then?I dnt play zoz gems bana,wala siko nyotani
Hope umeuelewa. Am out!U better try is a good therapy thou!
Thats my mamushka! LOLZ!
U better try is a good therapy thou!
Na wewe kubana riziki za watu hivi ukoje hivyo lazima nimwambie B umezidi sasa unoko.
tatizo weewe unapenda vya watu
ukiona vyaelea vimeundwa bana sasa ukinisemea kwa B na hii ni interest ya kifamilia sidhani kuna impact yoyote on ur favour hapo.....
Katamka wazi hapo juu yupo singo wewe ndo unaanza kuziba mianya au wewe unajua ana mtu huyu bana yupo alone hana mwenyewe ni mpweke kwa sasa anahitaji faraja za pekee kutoka kwa Dr.Fidel endelea kubana utakapo alikwa siku ya kumvisha pete usisuse.
unaenda wapi???am out