Mamsosa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2024
- 1,047
- 2,246
Nenda kiwandani ndo penye hadhi!Refurbished zimekuwa nyingi mtaani na kwa watu wengi ni ngumu kutambua.
Tusaidiane duka lenye sifa ya kuuza simu original za samsung.
Karibuni;;;;;;;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kiwandani ndo penye hadhi!Refurbished zimekuwa nyingi mtaani na kwa watu wengi ni ngumu kutambua.
Tusaidiane duka lenye sifa ya kuuza simu original za samsung.
Karibuni;;;;;;;
usisahau na wenyewe wanachukulia kariakoo mkuu, Samsung clone ziko nyingi tena hii A na a series ndio imechafuka hatariHivi mlimani city, masaki au posta pale opposite na GSM mall kwa Dar ndiyo wanauza original handset au?.
Kule nako ubahatishe tu.Ndio maaana mimi nakimbilia Nairobi, jamaa wapo serious na biashara
Sure....Nenda PHONEPOINTDAR, wako pale Posta maeneo ya ofisi za TTCL.
Hawa ndiyo pekee nawaamini...
Kiujumla dealerd wa Posta ndiyo kidogo nawaamini..
Kariakoo sipaamini 200%
Ni wewe wasema. Sema tena na tena 😊Kishoka!
Yote haya yanatokana na kuwa kila mtu anataka kuwa mfanyabiashara. Biashara zinafunguliwa hovyo uchumi wa fremu ni shida sana!!!!Yaani Tz kununua bidhaa shida sana, huwezi kwenda dukani ukanunua kitu straightfoward mara upigwe bei,mara ubambikiwe feki yaani ki kizungumkuti.
Ukibonyeza hizo ndo inakuwaje?Namna ya kujua kama ni refbshed or genuine.
##786#
Au
# #786 #* #
Wapi wanachanganya na refub?WAnachanganya na refurbished tena ndio % kubwa
Achana na Samsung,nunua simu za Xiaomi, Redmi Note 13 ni Zaidi ya Samsung A55.Refurbished zimekuwa nyingi mtaani na kwa watu wengi ni ngumu kutambua.
Tusaidiane duka lenye sifa ya kuuza simu original za samsung.
Karibuni;;;;;;;
Kama upo Arusha nenda benson au GXRefurbished zimekuwa nyingi mtaani na kwa watu wengi ni ngumu kutambua.
Tusaidiane duka lenye sifa ya kuuza simu original za samsung.
Karibuni;;;;;;;
Eti njoo pm kwani huyo wakala anauza madawa ya kulevya au? weka jina lake hapaUnahitaji samsung gani???
Njoo Pm nikupe wakala
Tatizo la Tanzania ndio hili tunanunua electronics kama simu kwenye maduka ambayo hawana hata dealershipYaani Tz kununua bidhaa shida sana, huwezi kwenda dukani ukanunua kitu straightfoward mara upigwe bei,mara ubambikiwe feki yaani ki kizungumkuti.
Sapn electronics, phone point. Wote wapo samora.Refurbished zimekuwa nyingi mtaani na kwa watu wengi ni ngumu kutambua.
Tusaidiane duka lenye sifa ya kuuza simu original za samsung.
Karibuni;;;;;;;
Ahsante bosssTatizo la Tanzania ndio hili tunanunua electronics kama simu kwenye maduka ambao hawana hata dealership
Nchi za wenzetu wanakuwa na store muuzaji anakuwa na delearship ya kuuza bidhaa genuine za aina moja tu kama ni Samsung basi Samsung huwezi kupigwa
Eli Cohen aende Mlimani City store ya Samsung atapata simu genuine yenye warranty.
Huwezi kumkuta mzungu ananunua simu Kariakoo