lukunij
Member
- Jul 4, 2012
- 36
- 7
- Thread starter
- #21
Jaribu kutulia utapata usiwe na haraka ya ndoa! Ndoa si kitu cha kufanya haraka haraka, jaribu kutulia mkuu. Wanawake wapo wengi haujatenga muda wa kutosha!
poa nimekuelewa but wasiwasi wangu ni kuwa na family wakati aged so nivigumu kuwawapatia huduma muhimu cos nitakuwa nimeshachoka so ndio yale ya kutegemea ndugu unalionaje hilo?