Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
Mama hapigiwi kura..:israel::israel::israel:Mjukuu, bado nasubiri majibu ya haya maswali yangu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hapigiwi kura..:israel::israel::israel:Mjukuu, bado nasubiri majibu ya haya maswali yangu hapa.
walimu wa QUALITATIVE ANALYSIS utawajua tu.............Luv, lazima goia ya mateso ilikuwapo tu maana anasema kuwa alishawishiwa na rehani amwache mume wake ili akaishi naye......sasa sidhani kama pangekuwa shwari tu angekubali kuachana na mumewe, I mean kama ni ku do infii si angeenda kisha arudi kwa mumewe? LOl
Gmorning luv...
U true man unatoka wapi hapo sasa?MJ1
A true man, hatakwambia umuache mmeo, sanasana atakutongoza na kuweka uhusiano na wewe [INFIDELITY]... anaekwambia achana na mumeo huyo ni hatari na ni wa kumkimbia kwa kasi ya michael schumaker
Babu umenishikia Bango jamani............Ah hayo maswali angekuwepo Rehani mwenyewe angetusaidia............. nadhani hapa ni baada ya kufahamiana sana, kumegana sana so wakafikia kunogewa ................Mjukuu, bado nasubiri majibu ya haya maswali yangu hapa.
walimu wa QUALITATIVE ANALYSIS utawajua tu.............
Kuachana na mtu ambaye huna komitments za kindoa ina tofauti sana na hii ya mke....(nasubiri utangaze nia yako....)
St. ni kifupisho cha street.....yaani mtaa...infact unaweza kuita Mt. RR.....hopefully bado unanipenda! Sijawahi kuguna kuhusu Nyamayao....
Babu umenishikia Bango jamani............Ah hayo maswali angekuwepo Rehani mwenyewe angetusaidia............. nadhani hapa ni baada ya kufahamiana sana, kumegana sana so wakafikia kunogewa ................
Luv, lazima goia ya mateso ilikuwapo tu maana anasema kuwa alishawishiwa na rehani amwache mume wake ili akaishi naye......sasa sidhani kama pangekuwa shwari tu angekubali kuachana na mumewe, I mean kama ni ku do infii si angeenda kisha arudi kwa mumewe? LOl
Gmorning luv...
haya haya wahi mpwa......!Actually siku hizi nimeimprove, thanks to the integration ya quantitative na qualitative analysis, pamoja na linguistics (isimu) from comrade NN (nasikia wammemground) hahahaha ngoja nikaifanye sasa hivi...
...:kiss:
Baba Hachaguliwi...........:lol::lol:Orait....kama ni hivyo. Udanganyifu mwingine ulianza kabla hajadanganywa amuache mmewe, si ndio?
Huyu mama anamlaani rehani kwa kumdanganya amuache mume wake. Lakini wakati wanadanganyana wakapiga infidelity, Rehani halalamikiwi.
Sababu nyingine ya kupruvu kuwa INFIDELITY ni nguzo muhimu ya kudumisha ndoa.
Katibu, nukuu hii tafadhali.......... Nakala kwa mwenyekiti na the King.
umeshaanza:A S 8::A S 8::A S 8::A S 8::A S 8:......:A S-heart-2:
Kwa minajili gani hapa KakaJ unayozungumzia??............... Maana ukija mtoto wa Obama weye ukakuta na mie ni mtoto wa Clinton au Bush...................kuna kipi kipya utachonieleza?Mj1 ukijua mi ni mtoto wa Obama utanikataa nikikupropoz?
mimi ni meya wa manispaa ta kinondoniUmepewa wizara ipi bana....
ndio hapo naona kama hawa awalinogewa wakajisahau wakitaka kuhalalisha kabisa....
gmrng my luv...jana kuna amhali ulisema umetokea guest, nitoe wacwac kwamba ulipeleka wale wageni wetu.
labda kwa kujikumbusha tu wajameni:Dada yangu, ukinogewa kwenye infii ukaamua kumuacha mume/mke ujue huo ni ulimbukeni wa hali ya juu. Sijui ni rule namba ngapi (King atanisaidia hapa)inayosema Infiiz lazima ni walindane ili penzi lao lidumu. Bila kulindana, ndoa zinavunjika at the same time mapenzi ya hawa infiiz yanaisha!! Take it from me!
Kaka, dada, mama, baba, bibi na babu zangu
Natumaini wote wazima.................
Jamani nimekaa hapa masikiliza hizi nyimbo za zamani toka Uhuru FM nikakutana na huu wimbo wa zamani, unaimba
"Kisa alichonitenda Rehani oh sitakisahau kamwe,
amenishawishi nimuache mume wangu ili niishi naye.
Nimeachana na Mume wangu eh nimekwenda kwa Rehani,
baada ya muda si mrefu, asema niondoke sina tabia nzuri oh....................
Npmebaki najiuliza maswali mawili, Najua haya mambo yanatokea kwa watu.............
1. Hivi wanaume mnapotushawishi kuchukua uamuzi wa aina hii huwa mnamaanisha au ndo kutukejeli? :frown:
2. Sie kina dada, how comes tunaamini ahadi kama hizi?.......Hivi kweli tunadanganyika??
Dada yangu, ukinogewa kwenye infii ukaamua kumuacha mume/mke ujue huo ni ulimbukeni wa hali ya juu. Sijui ni rule namba ngapi (King atanisaidia hapa)inayosema Infiiz lazima ni walindane ili penzi lao lidumu. Bila kulindana, ndoa zinavunjika at the same time mapenzi ya hawa infiiz yanaisha!! Take it from me!