No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,785
Enzi zangu nikiwa mpangaji nilikuwa nalipa umeme halafu mwezi mzima sipo Home...Swala mda mwingi sipo na matumizi ya wanaoshinda hapo ni makubwa mno....kiasi kwamba inapokuja kwenye contribution inakua kiasi kikubwa!!