WanaJF ndugu yenu nilikuwa na tabia ya kuchepuka na nikawa na wapenzi wa 4 wote marafiki pasipo wao kujijua kwa muda mmoja,
Bahati mbaya tangu mwezi jana walianza kushtukia na hatimaye leo nimeachwa ndugu zangu,
Tangu mchana nilipoachwa sijala chakula hadi muda huu, nahisi kufa ndugu zangu.
Nisahaurini jamani nipo serious ntaangamia wakuu nina hali mbaya sana.
Bahati mbaya tangu mwezi jana walianza kushtukia na hatimaye leo nimeachwa ndugu zangu,
Tangu mchana nilipoachwa sijala chakula hadi muda huu, nahisi kufa ndugu zangu.
Nisahaurini jamani nipo serious ntaangamia wakuu nina hali mbaya sana.