Jamani nimeachwa ndugu zangu, nisaidieni maisha yangu yapo ukingoni

Jamani nimeachwa ndugu zangu, nisaidieni maisha yangu yapo ukingoni

Mweeeee, nina dera langu jipyaaaaa, nlikuwa sijui ntalivalia wapi....sasa kabla hujafa nipm unielekeze kwenu nije kuuza nyago msibani miee...
Halafu jitahidi ufe wikend bhana watu tujiachie msibani kuanzia asubuhi hadi jioni.....!
 
TANMO atatoa sanda

Mimi nitatoa jeneza
Dinazarde amechukua tenda ya chakula
miss chagga naomba utusaidie maturubai
badiebey kwenye kikundi chenu hakuna mikeka hata tukodi? nadhani @janjaweed atatusaidia kamchango cha mikeka
kyukyu na team yako kachimbeni kaburi

Paroko @eiya utatusaidia kusalisha wakati tukimuhitaji

dada Snow White kachukua tenda ya sare za wafiwa

mama Kongosho na wanakwaya wenzako tunaomba utusaidie mapambio
charminglady usiruhusu mtu apige picha, hiko ni kitengo chako wewe na tayta

Mods mnakaribishwa sana msibani kadi zenu anazo CYBERTEQ

ninayotayari mkuu tunayafikisha wapi?
 
Mweeeee, nina dera langu jipyaaaaa, nlikuwa sijui ntalivalia wapi....sasa kabla hujafa nipm unielekeze kwenu nije kuuza nyago msibani miee...
Halafu jitahidi ufe wikend bhana watu tujiachie msibani kuanzia asubuhi hadi jioni.....!

Hahahaaaaa. mie pia ntaenda usiniache.
 
wakati unawachanganya wenziio hukuwaza kuna kufa???
yan we ni tindiga kweli ulizani hayana mwisho hayo???
ulivyo mjinga wa mwisho unajisifia na kujisifia et wa4/marafiki

kufa salama nenda na urudi kutuambia kunafananaje huko
 
mtaka yote kwa pupa hukosa yote,ulipofanya hayo hukujua sikumoja utawakosa wote? kuwa na subira utawapata wanaopenda michepuko kama ww
 
Back
Top Bottom