Jamani nimeachwa ndugu zangu, nisaidieni maisha yangu yapo ukingoni

Jamani nimeachwa ndugu zangu, nisaidieni maisha yangu yapo ukingoni

Kufa tu uwahi nafasi...saa ya kuzini pekeyako maji ya shingo ndo usaidiwe. 2 hell mzee tupatupa
 
Hahhahahhahahha majibu yenu tu wanaJF mi hoiiiii,na uchovu wote hadi usingizi umepaa...
 
WanaJF ndugu yenu nilikuwa na tabia ya kuchepuka na nikawa na wapenzi wa 4 wote marafiki pasipo wao kujijua kwa muda mmoja, bahati mbaya tangu mwezi jana walianza kushtukia na hatimaye leo nimeachwa ndugu zangu, tangu mchana nilipoachwa sijala chakula hadi muda huu, nahisi kufa ndugu zangu.

Nisahaurini jamani nipo serious ntaangamia wakuu nina hali mbaya sana.

mm nabariki kifo chako burian ndg yetu kufa kifo chema
 
WanaJF ndugu yenu nilikuwa na tabia ya kuchepuka na nikawa na wapenzi wa 4 wote marafiki pasipo wao kujijua kwa muda mmoja, bahati mbaya tangu mwezi jana walianza kushtukia na hatimaye leo nimeachwa ndugu zangu, tangu mchana nilipoachwa sijala chakula hadi muda huu, nahisi kufa ndugu zangu.

Nisahaurini jamani nipo serious ntaangamia wakuu nina hali mbaya sana.
nyie ndio wale kuku mnaokuja kuharibu JF

nendeni zile blog zenu zinazowafaa aissee

mnaboa sana
 
najitolea kusimamia daftar la rambirambi
TANMO atatoa sanda

Mimi nitatoa jeneza
Dinazarde amechukua tenda ya chakula
miss chagga naomba utusaidie maturubai
badiebey kwenye kikundi chenu hakuna mikeka hata tukodi? nadhani @janjaweed atatusaidia kamchango cha mikeka
kyukyu na team yako kachimbeni kaburi

Paroko @eiya utatusaidia kusalisha wakati tukimuhitaji

dada Snow White kachukua tenda ya sare za wafiwa

mama Kongosho na wanakwaya wenzako tunaomba utusaidie mapambio
charminglady usiruhusu mtu apige picha, hiko ni kitengo chako wewe na tayta

Mods mnakaribishwa sana msibani kadi zenu anazo CYBERTEQ
 
Michepuko 4 tu unaachwa Hakika wewe ni mbuzi katoriki mwanaume lijali 4 ni kwa siku moja. Teh teheeee.
 
hivi jitu kama wewe kwanini hukupanda ndege ya malyasia iliyopotea katika safari yake ya mwisho
 
Back
Top Bottom