TANMO atatoa sanda
Mimi nitatoa jeneza
Dinazarde amechukua tenda ya chakula
miss chagga naomba utusaidie maturubai
badiebey kwenye kikundi chenu hakuna mikeka hata tukodi? nadhani
@janjaweed atatusaidia kamchango cha mikeka
kyukyu na team yako kachimbeni kaburi
Paroko @eiya utatusaidia kusalisha wakati tukimuhitaji
dada
Snow White kachukua tenda ya sare za wafiwa
mama
Kongosho na wanakwaya wenzako tunaomba utusaidie mapambio
charminglady usiruhusu mtu apige picha, hiko ni kitengo chako wewe na
tayta
Mods mnakaribishwa sana msibani kadi zenu anazo
CYBERTEQ