Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mkuu asi kutane na bingwa wa kukataa sasaPole sana.
Mng'ang'anie tu. Akitaka kukuacha mwambie haachwi mtu hapa, kashavunja kikombe anakinunua tu, mng'ang'anie tu.
Umenikumbusha kuna binti aling'ang'ania mtu kila akitaka kuachwa anajitoa akili anang'ang'ania tu.
Mara paap, kumbe ndiye yule demu wako king'ang'anizi kajiwahi huku ππ.Mkuu asi kutane na bingwa wa kukataa sasa
acha basi mkuu, Sina wa style hiyo π.Mara paap, kumbe ndiye yule demu wako king'ang'anizi kajiwahi huku ππ.
Dua mhimu,lkn na we pia badilika, maana ukishindwa kumbadilisha mwenzio,badilika wewe.Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampendaππ.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?"
Kuna mmojΓ kama utaweza kuvumilia ukidai haki yako ya ndoa a aanza kupigia ndugu zake na mama yake eti hili janajike linanisumbua, kwahiyo anataka mkae hivi hivi, vipi utaweza ni msomi lakini nazani huyu ndiye ungeenda naye Kwa sheih πNawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampendaππ.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?"
Ukiona ushapita na wengi na wote wamekuacha fahamu ya kuwa wewe ndyo mwenye tatizo. Na usipojirekebisha hata huyo wa sasa atakula atasepa.Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampendaππ.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?"
Amkabidhi kwa Mungu pia, atamsaidiaPole sana.
Mng'ang'anie tu. Akitaka kukuacha mwambie haachwi mtu hapa, kashavunja kikombe anakinunua tu, mng'ang'anie tu.
Umenikumbusha kuna binti aling'ang'ania mtu kila akitaka kuachwa anajitoa akili anang'ang'ania tu.
Nyongeza: Pia hawa viumbe wakijua mapungufu yako,na hata ukipitia kwenye hali ngumu, wanakudharau wanakuona boya na mshamba... yaani huna lolote.Asilimia kubwa wanaume huwa tunaacha bila kusema tatizo ni nini ndo maana kila mwanamke anaeachwa huwa anajiuliza mwenyewe "kwani mi na kasoro gani?" Hadi umwambie kasoro yake labda awe amekukera sana.
Wao huwa ndo wanatuambia kasoro zetu utaskia mwanaume gani huna pesa kwahiyo unajua wapi urekebishe
Inawezekana π π€£ πMara paap, kumbe ndiye yule demu wako king'ang'anizi kajiwahi huku ππ.
βοΈβοΈβοΈ mim ni mbobez mzuri wa mahusuano........ WANAWAKE weng waanaachika Kwa Sabab kuu Moja....... KIBURI iliyopitiliza......... DHARAU Kwa MWANAUME wake......kuwa na uwezo mdg wa kuona mbali KIMAISHA .....hapa utamkuta ana TAMAAA NA MAISHA YA ANASA........ means mume anaona kabsa huyu ni liability na sio asset.........MWISHO kabsa utakuta Wanawake wengi ni wagonjwa wa FUNGUS na P.I.D unakuta UCHI imejaaa shombo za samaki na harufu Kali hapo MWANAUME lazima akimbie mwenyew......Kwa ushauri zaid njoo inbox tutayajenga vxr
Huu ujumbe uwafikie wanawake wote duniani.kinachombakiza mwanaume kwa mwanamke ni ustahilivu, subra, heshima, hekima na busara tu,
vingine kila mwanamke anavyo π
Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampendaππ.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?" Ha ha ha ha haπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππ
Una tabia chafu, Si ajabu kuona umelelewa na Mama tuNawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampendaππ.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?" Ha ha ha ha haπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππ