PeeWee
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 410
- 1,118
Haachiki kwenye ndoa, yeye anaachikia huku kwenye boyfriend na girlfriendKuachika mara moja usihangaike kuolewa tena, tulia na maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haachiki kwenye ndoa, yeye anaachikia huku kwenye boyfriend na girlfriendKuachika mara moja usihangaike kuolewa tena, tulia na maisha yako
kinachombakiza mwanaume kwa mwanamke ni ustahilivu, subra, heshima, hekima na busara tu,Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampenda😭😭.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!!
Naongea Sana ,lakin mbon najionaga nipo normal tu dah!!!😭😭Walikuacha walisema tatizo nini?
Kuna demu nilimtest nikamuuliza kiutani utani kuwa inaonekana umisha tembea na wanaume wengi bila shaka hiace inajaa akasema hiace tu Costa ina jaaVitu viwili-vitatu tu hapo mkuu:
1. Tabia
2. Maradhi ya kurithi
3. Kutumika kupitiliza.
Jamaa akiona umetumika(ni rahisi kujua kama Ke ametumika sana), lazima atembee mbele kama askari.
Hata Hii username yako ina kitu kibaya cha kiroho. Wewe ni wa baridi na hiki ni kitu kibaya mno kwa wanawakeNawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampenda😭😭.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!!
Ingia na Dua Mkuu.Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampenda😭😭.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?"
Asilimia kubwa wanaume huwa tunaacha bila kusema tatizo ni nini ndo maana kila mwanamke anaeachwa huwa anajiuliza mwenyewe "kwani mi na kasoro gani?" Hadi umwambie kasoro yake labda awe amekukera sana.Walikuacha walisema tatizo nini?
Pole sana.Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampenda😭😭.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?"
Tia nyama nyama kidogo!Jamaa akiona umetumika(ni rahisi kujua kama Ke ametumika sana)
JF🙌🏿👐🏿🏃🏿Sasa wewe hakuna chakula unachojua kupika zaidi ya mtori kwanini watu wasijiongeze...?
MnajuajeKuna demu nilimtest nikamuuliza kiutani utani kuwa inaonekana umisha tembea na wanaume wengi bila shaka hiace inajaa akasema hiace tu Costa ina jaa
Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampenda😭😭.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?"
HahahhaNawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampenda😭😭.
Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi niombe Dua kwaajili ya uyo mwanaume au niache niingie kichwa kichwa bila Dua?"