Jamani nimetapeliwa na mjasiriamali ambaye ni member wa huku

Pole kwa kukwazika, na bado watu hawaelewi binafsi simsemi mtu ila nimepinga tabia ya wizi na kubeza au kudharau wengine. Tuko hapa kujikwamua na tunafikiri ktk umoja huu tunajengana na kuinuana. Sasa tukianza kushabikia wizi au kudharau watu wa chini sijui italeta picha gani. Mkuu tuko pamoja, tukikosa tunawekana sawa yanaisha.
 
Last edited by a moderator:



:nono:
 

Kama ni kweli huyo Kitomari ana matatizo.Kwa nini asipokee simu au asijibu kama ana tatizo'? Na laki tatu ni nyingi kama huna ndugu lkn kwa nyinyi mabepari ni vijisenti
 
Kama ni kweli huyo Kitomari ana matatizo.Kwa nini asipokee simu au asijibu kama ana tatizo'? Na laki tatu ni nyingi kama huna ndugu lkn kwa nyinyi mabepari ni vijisenti

Jamaa kaja tena kuwashika kwa staili mpya, na tunavyo penda kushoboka
 
jumla sh ngapi katapeli?
embu pigeni hesabu
 
pole sana mkuu!!, milima hakutani lakin bin-adam watakutana!!.
 
Kama ni kweli huyo Kitomari ana matatizo.Kwa nini asipokee simu au asijibu kama ana tatizo'? Na laki tatu ni nyingi kama huna ndugu lkn kwa nyinyi mabepari ni vijisenti

Jamaa aliyefanya uhuni ni kitomari2
Wizi ndani ya JF upo sana na mods washasisitiza jinsi ya kufanya bizness na mtu ndani ya JF,kuna jamaa anaitwa kitomari2 ni tapeli la kufa mtu ana ID kibao anaanzisha sredi kwa ID ya kitomari anajijibu kwa IDs nyingine zaidi ya 6 unaweza ukahisi jamaa ni muaminifu maana ID fake nyingine anajishukuru yeye kwa kujiuzia banta mzinga lol kuwa makini.


Ebu fungua hii sredi uone tapeli kitomari2 alivyo na ID lukuki sema mods wameziunganisha sredi kaanzisha yeye na anajijibu yeye!

~~~
www.jamiiforums.com/ujasiriamali/514230-bata-mzinga-wakubwa-kwa-wadogo.html
~~~~
 
Haya malalamiko hayana mashiko maana tungetegemea amtaje ili kuokoa wenzako.sasa hivi ni kama vapour
 
Ushauri wangu jf ni kiunganishi tu cha wajasiriamali.mimi siwezi kufanya biashara na mtu nisiyemjua kwa maana ya contacts.place of bness Legality na credibility yake kisa ni member hapa.fanyeni utafiti wa kutosha.resources are always scarce usiachie pesa kirahisi rahisi
 

Sasa mkuu usinge post,huyu angekamatwa kupitia kwako
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…