Haya mkuu nisamehe, Tatizo nilivopost nikataja Kitomai watu wakanishambulia kuwa namtetea, aliyekuja kutoa clarification ni mwingine kabisaa mathematics , wewe ulitakiwa tu useme kuwa nimechanganya! BTW, pole sana, kwa hiyo aliyekutapeli ni nani mkuu?
Asante Mkuu kwa ufafanuzi, Kitomai adhurumu mtu laki3 ilikuwa hainiingii kichwani, ungeniambia kuanzia mill30 na kuendelea ingekuja kidogo akilini, nimeshachunguza mtu anayeuza bata humu ndani ni kitomari2, siyo Kitomai, sasa wote mnaoropoka mumtake radhi Kitomai, mnamchafuliana majina bure wakuu, wengine wanashabikia tu bila hata kufanya kautafiti hata kidogo wanapanua madomo tu, Kitomai hajawahi kuuza bata humu JF, Kitomari2 ndiyo anafanya biashara hiyo na mabango yake yapo mengi tu humu!
cc: Eberhard Mama Joe FairPlayer Mamndenyi gayo Kennedy neggirl
Nitaje uone kama ntakulipa?teh
Laki 3 kwako ndogo ila kwa wengine ni kubwa sana!
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?
Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!
Haya mtaji hapa huyo mtu wako
Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,
Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?
Kama ni kweli huyo Kitomari ana matatizo.Kwa nini asipokee simu au asijibu kama ana tatizo'? Na laki tatu ni nyingi kama huna ndugu lkn kwa nyinyi mabepari ni vijisenti
Kama ni kweli huyo Kitomari ana matatizo.Kwa nini asipokee simu au asijibu kama ana tatizo'? Na laki tatu ni nyingi kama huna ndugu lkn kwa nyinyi mabepari ni vijisenti
sina nia ya kumtetea bwana kitomari2 ila nahisi atakuwa ameingiwa na tamaa ya kujipatia kipato bila kuwa na mzigo wa kutosheleza wateja wake. Binafsi nina experience nzuri naye ingawa hatujawahi kuonana. Nilimtumia pesa kwa m-pesa akanitumia vifaranga wengi kuliko thamani ya pesa niliyomtumia, nikamuona mwaminifu sana! akasema hivyo vilivyozidi nimtatutie pesa zake, nikaona poa sana. Tayari nimeishamlipa lakini bado ananidai pesa kidogo tu nimalizie hao waliozidi.
Sasa hizi habari za utapeli wake zimenikatisha tamaa sana kuendelea nae. Nahisi ananilia timing ndo anitapeli, nilimwambia najipanga then nimtumie hela anisafirishie mzigo mkubwa zaidi ya huu wa kwanza. Duh, imenikatisha tamaa sana aisee, nitamtafuta kwa simu nimwambie haya malalamiko maana mimi nikimpigia anapokea, hata nikituma sms ananijibu, nahisi bado narushiwa punje za mahindi niingie mkenge!!!!