Jamani nimetapeliwa na mjasiriamali ambaye ni member wa huku

Jamani nimetapeliwa na mjasiriamali ambaye ni member wa huku

Mbona anakamatika huyu kama tukiamua kimfustilis
 
Poleni sana jamani, inarudisha nyuma wengine. Halafu pia inaharibu sana biashara hapa maana kuna wasio member pia watakuwa wameathirika hawawezi report hapa na itawaogopesha hata kufanya biashara na sisi. Binafsi nilipigia debe sana kuanzishwa mfano wa gulio la bidhaa zetu nadhani tukio hili ni changamoto tunayopaswa kuiangalia kwa makini. Kuanzia tu iwepo onyo hapa kutofanya malipo na mtu usiyemjua, kama ilivyo kwa Alibaba nk mtu atayetaka kufanya biashara kwa malipo ya awali awe verified user na tuombe JF ikae na fedha hadi mnunuzi areport amepokea alicholipa na iwepo commission fulani inalipwa kwa mmiliki JF. Vinginevyo mnunuzi mwenyewe fanya tathmini yako hadi uridhiki ndio ulipie. Nimeuza kiwanja na nikanunua kiwanja hapa, nimenuniua vifaranga na pia kuku wakubwa kwa member hapahapa. Sio wote wezi lakini tunashkuru sana kwa taarifa na lolote likitokea kinyume na makubaliano tafadhali tutoe taarifa ili hao wapuuzi wasirudie kuchafua hapa. Niwatakie kazi njema wote
wazo la jf kuact kama paypal na kushikilia pesa hadi costumer aconfirm delivery ni wazo mwafaka na litakua la faida wa jf kama kunakua na fee(service charge).
 
Kabisa inawezekana maana ilivyo watu wanafikiri JF inatujua na inapokea commission fulani kumbe watu tunauziana juu kwa juu tu. Kama member yoyote akidai malipo ya awali na humjui tafadhali msitoe hela.
wazo la jf kuact kama paypal na kushikilia pesa hadi costumer aconfirm delivery ni wazo mwafaka na litakua la faida wa jf kama kunakua na fee(service charge).
 
aisee asante sana mleta mada, umetuokoa wengi, maana nilikuwa nami kwenye mchakato wa kuagiza hao bata mzinga mbona ningelia. Anyway alichofanya kitomari2 ni kibaya sana na imetia doa ili jamvi letu pendwa la ujasiriamali. wengi tumefaidika kwa kufanya biashara na watu ambao tumewajua kupitia ili jamvi na hatujawahi pata matatizo kama haya.

on a second note, sasa wapi naweza pata hao batamzinga, maana bado nawahitaji. SIKATI TAMAA
 
Last edited by a moderator:
mimi ningemuingia kichwakichwa angenitapeli hela nyingi tu bt nlichukua hatua ya kufika hadi kijijini kwao ndio nikapewa habari zake kuwa ni tapeli from there nikaamua kumpuuzilia mbali. Sina uhakika ila nadhani naweza kuwaelekeza pa kumpata.
 
Na mimi ilibaki kidogo niagize mzigo kutoka kwa huyu mheshimiwa.
 
Wewe kitomari2 warudishie hela zao watu uliowatapeli au watumie hiyo mifugo waliyoagiza kwako inauma sana unachukua pesa za watu kwa mapatano ya biashara kumbe wewe una malengo ya kuwaibia. Usifikiri uliowaibia wanashindwa kukupata na kukuadhibu kama wanavyoadhibiwa wezi wengine. Umekuja kujitangaza hapa jukwaani baada ya kutapelitapeli huko ili ututapeli na wengine tusiokujua. Hapa ni kwa watu wastaarabu great thinkers hili jukwaa tunaheshimiana. Rudisha mali za watu najua umeona huu uzi na uliowatapeli unawajua
 
aisee asante sana mleta mada, umetuokoa wengi, maana nilikuwa nami kwenye mchakato wa kuagiza hao bata mzinga mbona ningelia. Anyway alichofanya kitomari2 ni kibaya sana na imetia doa ili jamvi letu pendwa la ujasiriamali. wengi tumefaidika kwa kufanya biashara na watu ambao tumewajua kupitia ili jamvi na hatujawahi pata matatizo kama haya.

on a second note, sasa wapi naweza pata hao batamzinga, maana bado nawahitaji. SIKATI TAMAA

Mtafute Ney Temu, yumo humu jamvini kwa jina hilo la Ney Temu,kuna wakati alikuwa anatangaza kutafuta mteja wa hao bata mzinga.
 
sina nia ya kumtetea bwana kitomari2 ila nahisi atakuwa ameingiwa na tamaa ya kujipatia kipato bila kuwa na mzigo wa kutosheleza wateja wake. Binafsi nina experience nzuri naye ingawa hatujawahi kuonana. Nilimtumia pesa kwa m-pesa akanitumia vifaranga wengi kuliko thamani ya pesa niliyomtumia, nikamuona mwaminifu sana! akasema hivyo vilivyozidi nimtatutie pesa zake, nikaona poa sana. Tayari nimeishamlipa lakini bado ananidai pesa kidogo tu nimalizie hao waliozidi.

Sasa hizi habari za utapeli wake zimenikatisha tamaa sana kuendelea nae. Nahisi ananilia timing ndo anitapeli, nilimwambia najipanga then nimtumie hela anisafirishie mzigo mkubwa zaidi ya huu wa kwanza. Duh, imenikatisha tamaa sana aisee, nitamtafuta kwa simu nimwambie haya malalamiko maana mimi nikimpigia anapokea, hata nikituma sms ananijibu, nahisi bado narushiwa punje za mahindi niingie mkenge!!!!
 
Last edited by a moderator:
sina nia ya kumtetea bwana kitomari2 ila nahisi atakuwa ameingiwa na tamaa ya kujipatia kipato bila kuwa na mzigo wa kutosheleza wateja wake. Binafsi nina experience nzuri naye ingawa hatujawahi kuonana. Nilimtumia pesa kwa m-pesa akanitumia vifaranga wengi kuliko thamani ya pesa niliyomtumia, nikamuona mwaminifu sana! akasema hivyo vilivyozidi nimtatutie pesa zake, nikaona poa sana. Tayari nimeishamlipa lakini bado ananidai pesa kidogo tu nimalizie hao waliozidi.

Sasa hizi habari za utapeli wake zimenikatisha tamaa sana kuendelea nae. Nahisi ananilia timing ndo anitapeli, nilimwambia najipanga then nimtumie hela anisafirishie mzigo mkubwa zaidi ya huu wa kwanza. Duh, imenikatisha tamaa sana aisee, nitamtafuta kwa simu nimwambie haya malalamiko maana mimi nikimpigia anapokea, hata nikituma sms ananijibu, nahisi bado narushiwa punje za mahindi niingie mkenge!!!!
Kama bado mawasiliano,mwambie aje jukwaani ajibu ,
 
Mimi ninaanza kuamini kuwa ndugu kitomari2 atakuwa tapeli la kimataifa. Kama mtu hakuyatenda haya angekuja hapa fasta kukanusha. Tena ukizingatia simu za wengine anaotaka kufanya nao biashara anazipokea. Shetani amtangulie ndugu kitomari2 kwa utapeli wake.
 
Kama bado mawasiliano,mwambie aje jukwaani ajibu ,

nilimwambia akashangaa sana, alionyesha kutokuwa na taarifa kuwa limebumbuluka, ila akasema atakuja manake alikuwa hajawa na access ya internet
 
nilimwambia akashangaa sana, alionyesha kutokuwa na taarifa kuwa limebumbuluka, ila akasema atakuja manake alikuwa hajawa na access ya internet
Sio tu kuja jamvini anatakiwa arudishe pesa za watualipwatapeli au awatumie mizigo yao waliyoagiza kwake
 
Mimi ninaanza kuamini kuwa ndugu kitomari2 atakuwa tapeli la kimataifa. Kama mtu hakuyatenda haya angekuja hapa fasta kukanusha. Tena ukizingatia simu za wengine anaotaka kufanya nao biashara anazipokea. Shetani amtangulie ndugu kitomari2 kwa utapeli wake.

Wekeni simu ya huyu jamaa peupe ili tumpigie atujibu. Mtasaidia sana kuokoa hela za wenzetu.
 
Habari wajasiriamali? Jamani kama kuna member anafahamu maskani ya huyu tapeli kitomari2 atuelekeze hapa jamvini namna ya kufika kwenye maskani yake ili tumuibukie hukohuko ili arudishe mali alizotapeli
 
Back
Top Bottom