Jamani nimetapeliwa na mjasiriamali ambaye ni member wa huku

Jamani nimetapeliwa na mjasiriamali ambaye ni member wa huku

He was among the prominent figures kwenye hili jukwaa letu atafanya sasa na wengine kama wewe,Chasha,Mgombezi n.k muogopwe hata kwenye dili za ukweli na muhimu

Jamaa ameliabisha jukwaa vibaya,na sasa waoga wa kujaribu kufanya mambo watakata tamaa kama sio kufa kabisa. Halafu hii sio hasara kidogo, ni hasara kwa taifa zima,kwa sababu itafikia mahali online b/ness itakuwa haiaminiki tena.
 
Wakati duniani kote biashara zipo online kwa kiasi kikubwa, swala hili litupe changamoto wa Tz, tubadilike, turudishe heshima. Vinginevyo tutabaki nyuma sana. Shukran Malila kwa mtazamo.
...., Halafu hii sio hasara kidogo, ni hasara kwa taifa zima,kwa sababu itafikia mahali online b/ness itakuwa haiaminiki tena.
 
Na msikitini sana huyo kitomari. Huu mchezo alioufanya siyo mzuri. Utamkosti sana.
 
Mimi mwenyewe nilikuwa nawaza mabata mzinga wa kitomari. Nilishafikiria kuyachukua. Kumbe jamaa ni tapeli. Inatupasa Tuwe makini aisee. Hasa mwezi huu ambao hawa wakina kitomari wanarudi nyumbani kwenda kutambika. Wanatafuta pesa kwa nguvu kweli.
 
Kwa kweli hajafanya vizuri hata kidogo, wengi tumehamasika kupitia jf halafu mtu ambaye alikuwa anamichango mingi ya kuhamasisha wanajamii anafanya upuuzi huu. Kitomari njoo jisafishe bwana siyo ishu kutapeli watu ambao wamekuamini. Mkuu eberhard kitomary ni wameru kiasili wanatabia hiyo ya kutapelitapeli.
 
Tujitahidi kuungana kupinga watu kama kitomari kwani wanaharibu uaminifu ambao wengi tutauhitaji kufanya biashara humu ndani..mimi kanitapeli lak 5
 
Mkuu nitofautiane na wewe kidogo huyu ameamua kusema baada ya kuona jamaa hatoi ushirikiano miezi mitatu sio haba,hata hiyo laki tatu sio ndogo tena haikua yake
 
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?

Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!


Haya mtaji hapa huyo mtu wako

Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,


Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?

Acha dharau wewe!
 
piga kalautala mkuu , kama na wewe una nguvu, sometimes huwa zinageuka . all in all, mkuu pole sana lakini katika mafunzo yetu ya kidini kwanza msamehe na mwambie nimekusamehe ili wewe uendelee kupata riziki yako vizuri bila matatizo , lakini ukiwa ni mtu wa kulalamika hata wewe mwenyewe unajifunga katika riziki , samehe na mungu atakupa tena ila usijumlishe
 
Wakuu nashukuruni sana kwa mawazo yenu. Kiukweli huyu jamaa nimeamua kumsamehe na kuendelea na maisha. Nilijaribu kumsihi sana kama ndugu kuwa uaminifu ndiyo mtaji mkuu wa mjasiriamali ila naona hakuelewa.

Siku zote nitapenda asipate matatizo ili aweze kupata moyo wa kujutia na kujifunza maana inawezekana ameanguka kwenye tamaa na bado hajajitambua.

Nitaomba wale wote tuliotapeliwa tumsamehe kama ikiwezekana na tujipange upya maana hapa jamvini kuna watu wengine wengi tunaweza kufanya nao hii biashara ila kikubwa niwaombe uaminifu ili hizi online b/ness zizidi kuaminika hapa jamvini

Mwishoni kabisa nitaomba hii iwe changamoto kwetu wote (wanunuzi na wauzaji) na tusife moyo kwenye kufanya hizi biashara za online maana kuna theorem moja ya hesabu inasema "a singular cited example can't prove the entire theorem". Mtu mmoja mwenye tabia mbaya asiharibu mambo yetu mazuri. Naamini hii ni case ya kwanza kabisa kutokea kwenye jukwaa dogo la ujasiriamali

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki JF, Mungu bariki wajasiriamali



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Poleni sana jamani, inarudisha nyuma wengine. Halafu pia inaharibu sana biashara hapa maana kuna wasio member pia watakuwa wameathirika hawawezi report hapa na itawaogopesha hata kufanya biashara na sisi. Binafsi nilipigia debe sana kuanzishwa mfano wa gulio la bidhaa zetu nadhani tukio hili ni changamoto tunayopaswa kuiangalia kwa makini. Kuanzia tu iwepo onyo hapa kutofanya malipo na mtu usiyemjua, kama ilivyo kwa Alibaba nk mtu atayetaka kufanya biashara kwa malipo ya awali awe verified user na tuombe JF ikae na fedha hadi mnunuzi areport amepokea alicholipa na iwepo commission fulani inalipwa kwa mmiliki JF. Vinginevyo mnunuzi mwenyewe fanya tathmini yako hadi uridhiki ndio ulipie. Nimeuza kiwanja na nikanunua kiwanja hapa, nimenuniua vifaranga na pia kuku wakubwa kwa member hapahapa. Sio wote wezi lakini tunashkuru sana kwa taarifa na lolote likitokea kinyume na makubaliano tafadhali tutoe taarifa ili hao wapuuzi wasirudie kuchafua hapa. Niwatakie kazi njema wote
Wakuu nashukuruni sana kwa mawazo yenu. Kiukweli huyu jamaa nimeamua kumsamehe na kuendelea na maisha. Nilijaribu kumsihi sana kama ndugu kuwa uaminifu ndiyo mtaji mkuu wa mjasiriamali ila naona hakuelewa.

Siku zote nitapenda asipate matatizo ili aweze kupata moyo wa kujutia na kujifunza maana inawezekana ameanguka kwenye tamaa na bado hajajitambua.

Nitaomba wale wote tuliotapeliwa tumsamehe kama ikiwezekana na tujipange upya maana hapa jamvini kuna watu wengine wengi tunaweza kufanya nao hii biashara ila kikubwa niwaombe uaminifu ili hizi online b/ness zizidi kuaminika hapa jamvini

Mwishoni kabisa nitaomba hii iwe changamoto kwetu wote (wanunuzi na wauzaji) na tusife moyo kwenye kufanya hizi biashara za online maana kuna theorem moja ya hesabu inasema "a singular cited example can't prove the entire theorem". Mtu mmoja mwenye tabia mbaya asiharibu mambo yetu mazuri. Naamini hii ni case ya kwanza kabisa kutokea kwenye jukwaa dogo la ujasiriamali

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki JF, Mungu bariki wajasiriamali



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
pole sana best usijali hajakuvunja mkono wala mguu endelea kutafuta best utafakiwe zaidi huyu aliyekudhulumu hukumu yake iko kwa MUNGU
 
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?

Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!


Haya mtaji hapa huyo mtu wako

Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,


Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?

Unamtetea Tapeli Mwenzio
 
Kumbe Yericko Nyerere ni kilaza hivi?Nimemdharau kuanzia leo.
 
Back
Top Bottom