Jamani nimetapeliwa na mjasiriamali ambaye ni member wa huku

Jamani nimetapeliwa na mjasiriamali ambaye ni member wa huku

chinekeeeeeee

wewe kitomari umeaibisha sana jukwaa letu hili la kujiajiri.

utaifutaje dhambi hii.. watu wanahangaika wajiajiri wewe unawalia mitaji yao!!!

no more comment.. kuna watu na viatu. nahisi wewe uko kwenye viatu
 
Hee hawa akina kitomari wana asili ya utapeli. Nawajua wengine waliotapeli wakawa wanafuatiliwa na majambaz kwa lengo la kulipiza ikabidi wakimbie nyumba wakatokomea kuishi huko kariakoo. Alipe kama vipi tutawaumbua hapa hapa jamvini.
 
Yaani huyo member kwasasa nadhani ID
kabadili kabisa maana haonekani ku sign in
muda mrefu sana.

Ila ni aibu sana kwahili.
 
Linapokuja suala la kushirikishwa ujasiria mali na mtu/watu wanaojiita wataalam wa ujasiria mali, jiridhishe na uaminifu wao kabla hujashirikiana nao. Physical address zao ni muhimu pia achana na address za mitadao
 
Bado siamini kilichotokea. Huyu jamaa nilishawahi kufanya naye biashara kama mwaka umepita. Kama miezi mitatu imepita alikuja kaka yangu akaona ile mifugo niliyoagiza kwa huyu jamaa akatamani naye aifuge hivyo akaniomba nimwagizie halafu nimtumie maana yeye anaishi Lindi

Nikaongea na huyu mjasiriamali akanihakikishia mzigo anao ndipo tukakubaliana nimtumie pesa kama laki 3 hivi ili autume. Baada ya kutuma hela jamaa akaanza sababu mara amekosa basi na hatimaye anauguza hadi leo nikimpigia simu hapokei wala hajibu SMS zangu.

Namtahadharisha kuwa dhuluma siyo nzuri kwenye maisha na atambue kuwa yatakuja kumtokea pabaya maana ameweza kunifanyia hivi mimi ambaye sitaweza kumfanya kitu ila atakuja kumfanyia mtu ambaye anapenda revenge. Mimi naamini zaidi kwenye KARMA

Asanteni

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kitomai , laki 3?!!! Kadhurumu? Hii nayo kali, sijawahi kukutana physically na huyu jamaa lakini anaonekana kama dalali mkubwa hiviii, kwani hana ofisi jamani? Naombea awe amebanwa tu na ishu flani labda kifedha au vinginevyo lakini akiwa vizuri akutafute. Btw, mkuu laki tatu mbona kitu kidogo sana mkuu wa kazi, wengine tukihesabu tulizopoteza mbona tunaweza kuchanganyikiwa, tena sisi wazee wa online ndiyo kabisaa tunafanya biashara na watu ambao hataki hata kukwambia jina lake nani, anwani yake anasisitiza anonimity lakini bado mtu unajitosa ukijua kuwa ukipoteza basi, ndiyo mambo ya mtandaoni mkuu! Nakumbukwa nimewahi kukutana na member mmoja wa JF yuko Arusha, alikuwa anauza bidhaa flani nikazipenda, katika maongezi kila mtu hamwamini mwenzie, nani aanze kutuma, ikabidi nimtumie tu over 1m, tena akawa ananitania "mwanangu umeliwa" lakini nilipata mzigo wangu na mpaka leo ni jamaa yangu mzuri japo hatujakutana physically!
 
Last edited by a moderator:
Kitomai , laki 3?!!! Kadhurumu? Hii nayo kali, sijawahi kukutana physically na huyu jamaa lakini anaonekana kama dalali mkubwa hiviii, kwani hana ofisi jamani? Naombea awe amebanwa tu na ishu flani labda kifedha au vinginevyo lakini akiwa vizuri akutafute. Btw, mkuu laki tatu mbona kitu kidogo sana mkuu wa kazi, wengine tukihesabu tulizopoteza mbona tunaweza kuchanganyikiwa, tena sisi wazee wa online ndiyo kabisaa tunafanya biashara na watu ambao hataki hata kukwambia jina lake nani, anwani yake anasisitiza anonimity lakini bado mtu unajitosa ukijua kuwa ukipoteza basi, ndiyo mambo ya mtandaoni mkuu! Nakumbukwa nimewahi kukutana na member mmoja wa JF yuko Arusha, alikuwa anauza bidhaa flani nikazipenda, katika maongezi kila mtu hamwamini mwenzie, nani aanze kutuma, ikabidi nimtumie tu over 1m, tena akawa ananitania "mwanangu umeliwa" lakini nilipata mzigo wangu na mpaka leo ni jamaa yangu mzuri japo hatujakutana physically!
kama laki 3 kitu kidogo umlipie kitomali. then mbona kama unamtete vile? Au wewe ndiyo kitomali Mwenyewe?
 
Mwizi ni mwizi tu hata kama kachukua kidogo ni mwizi. Kama wote tukiendekeza haya tutaitwa kijiwe cha wezi. Mlizane uko uko mlikozoea. Hapa ukiiba utaitwa mwizi hata kama elfu 10. Wenyewe mnashuhudia watu wanahangaika kutafuta mtaji, mkopo sijaona mfadhili anajitolea kuwapa leo hii mtu akimbie na hela yao halafu wanyamaze? Hii ni aibu, yeyote anayetetea hili awalipe waliobiwa la hii iwekwe sticky pale juu. Merry Xmas to You all!
 
Kama kapata taarifa na simu inapatikana na simu siku hizi zina access za internet basi ni tapeli kweli.
 
Mwizi ni mwizi tu hata kama kachukua kidogo ni mwizi. Kama wote tukiendekeza haya tutaitwa kijiwe cha wezi. Mlizane uko uko mlikozoea. Hapa ukiiba utaitwa mwizi hata kama elfu 10. Wenyewe mnashuhudia watu wanahangaika kutafuta mtaji, mkopo sijaona mfadhili anajitolea kuwapa leo hii mtu akimbie na hela yao halafu wanyamaze? Hii ni aibu, yeyote anayetetea hili awalipe waliobiwa la hii iwekwe sticky pale juu. Merry Xmas to You all!
Tell them! wanaowatetea wezi nao ni wezi.
 
Najua wewe huna kitu na ndio maana mawazo yako yanajua kuwa biashara mpaka uwe tajiri waulize akina mengi walipoanzisha financial consultancy walikuwa matajri?mkono walipoanzisha kampuni ya uwakili alikuwa tajiri?
Hujaelimika bado wewe.

Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?

Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!


Haya mtaji hapa huyo mtu wako

Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,


Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?
 
Yeah inakatisha tamaa wako watu wanahangaika sana mitaji ya mkopo, ajira hawana halafu watu wanasema hela ndogo, udogo ni relative term kama unayo wape maisha yaendelee, huna waache waseme.
Tell them! wanaowatetea wezi nao ni wezi.
 
Kitomai , laki 3?!!! Kadhurumu? Hii nayo kali, sijawahi kukutana physically na huyu jamaa lakini anaonekana kama dalali mkubwa hiviii, kwani hana ofisi jamani? Naombea awe amebanwa tu na ishu flani labda kifedha au vinginevyo lakini akiwa vizuri akutafute. Btw, mkuu laki tatu mbona kitu kidogo sana mkuu wa kazi, wengine tukihesabu tulizopoteza mbona tunaweza kuchanganyikiwa, tena sisi wazee wa online ndiyo kabisaa tunafanya biashara na watu ambao hataki hata kukwambia jina lake nani, anwani yake anasisitiza anonimity lakini bado mtu unajitosa ukijua kuwa ukipoteza basi, ndiyo mambo ya mtandaoni mkuu! Nakumbukwa nimewahi kukutana na member mmoja wa JF yuko Arusha, alikuwa anauza bidhaa flani nikazipenda, katika maongezi kila mtu hamwamini mwenzie, nani aanze kutuma, ikabidi nimtumie tu over 1m, tena akawa ananitania "mwanangu umeliwa" lakini nilipata mzigo wangu na mpaka leo ni jamaa yangu mzuri japo hatujakutana physically!

mkuu haya majina yanachanganya, nafikiri anayezungumzwa hapa ni kitomari2 , sio dalali Kitomai mwenye kuuza nyumba bilioni moja! Naomba kusahihishwa kama na mimi nimekosea.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu taarifa anazo, kama wiki mbili zimepita kanirushia SMS analalamika nimemzalilisha. Nikamjibu kwamba before sijaja hapa nilimtumia text kuwa nitaleta hili jambo JF ili kusaidia na wengine. Na pia dawa ya deni ni kulipa. Hata mm kanizalilisha kwa kaka yangu ambaye nimeshindwa kumpatia mzigo wake. Naomba pia ieleweke kuwa hela ni hela, uchache au wingi inategemeana na mtu. Na pia hili jambo tumelileta hapa ili na wengine wajifunze. Wanaobeza laki 3 wajitazame upya maana ukiwa na akili kama hiyo hata kimaisha hutafika mbali. Maana hata vitabu vitakatifu vimekataza kujikweza. Kwa kurudia tena huyu jamaa nimeshamsamehe na maisha yanaendelea na kama ataona kaonewa au kusingiziwa aje hapa tubishane kwa hoja. Hii thread ina zaidi ya mwezi na hajaweza kuja hapa kukanusha, na pia watu wengi wamejitokeza kumlalamikia kwa utapeli. Ndugu yangu naomba ubadilike maisha ya utapeli mafupi sana kimafanikio!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
mkuu haya majina yanachanganya, nafikiri anayezungumzwa hapa ni kitomari2 , sio dalali Kitomai mwenye kuuza nyumba bilioni moja! Naomba kusahihishwa kama na mimi nimekosea.

Asante Mkuu kwa ufafanuzi, Kitomai adhurumu mtu laki3 ilikuwa hainiingii kichwani, ungeniambia kuanzia mill30 na kuendelea ingekuja kidogo akilini, nimeshachunguza mtu anayeuza bata humu ndani ni kitomari2, siyo Kitomai, sasa wote mnaoropoka mumtake radhi Kitomai, mnamchafuliana majina bure wakuu, wengine wanashabikia tu bila hata kufanya kautafiti hata kidogo wanapanua madomo tu, Kitomai hajawahi kuuza bata humu JF, Kitomari2 ndiyo anafanya biashara hiyo na mabango yake yapo mengi tu humu!

cc: Eberhard Mama Joe FairPlayer Mamndenyi gayo Kennedy neggirl
 
Last edited by a moderator:
Asante Mkuu kwa ufafanuzi, Kitomai adhurumu mtu laki3 ilikuwa hainiingii kichwani, ungeniambia kuanzia mill30 na kuendelea ingekuja kidogo akilini, nimeshachunguza mtu anayeuza bata humu ndani ni kitomari2, siyo Kitomai, sasa wote mnaoropoka mumtake radhi Kitomai, mnamchafuliana majina bure wakuu, wengine wanashabikia tu bila hata kufanya kautafiti hata kidogo wanapanua madomo tu, Kitomai hajawahi kuuza bata humu JF, Kitomari2 ndiyo anafanya biashara hiyo na mabango yake yapo mengi tu humu!

cc: Eberhard Mama Joe FairPlayer Mamndenyi gayo Kennedy neggirl

mkuu hakuna aiyetumia jina kitomai kumuelezea kitomari2 ni wewe peke yako ndio maana ulishangaa sana, pitia thread yote. Wengine wanaochanganya majina wanatumia kitomari bila kuweka 2 yani kitomari2 au kitomali wenye tatizo la R na L. Sababu vilevile kitomari na kitomari2 ni member tofauti.
 
Ndugu yangu CYBERTEQ acha ukurupukaji, umekuja bila kupitia uzi vizuri ukataja watu wasiohusika halafu unatuambia tumtake radhi. Naomba uwe makini katika kuchangia uzi. Mimi binafsi ndiyo mwanzilishi wa huu uzi na niko makini kuliko unavyoweza kufikiri. Hapa hatuna haja ya kumchafua mtu ila tunaweka kumbukumbu sawa kuwa utapeli ni sumu ya ujasiriamali.

Asante

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ndugu yangu CYBERTEQ acha ukurupukaji, umekuja bila kupitia uzi vizuri ukataja watu wasiohusika halafu unatuambia tumtake radhi. Naomba uwe makini katika kuchangia uzi. Mimi binafsi ndiyo mwanzilishi wa huu uzi na niko makini kuliko unavyoweza kufikiri. Hapa hatuna haja ya kumchafua mtu ila tunaweka kumbukumbu sawa kuwa utapeli ni sumu ya ujasiriamali.

Asante

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Haya mkuu nisamehe, Tatizo nilivopost nikataja Kitomai watu wakanishambulia kuwa namtetea, aliyekuja kutoa clarification ni mwingine kabisaa mathematics , wewe ulitakiwa tu useme kuwa nimechanganya! BTW, pole sana, kwa hiyo aliyekutapeli ni nani mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa nimeongea nae juzi kupitia na 0757662401 nika muulizia kama bado anao bata anadai mzigo upo tena hana hata wasiwasi anaongea kwa utaratibuu ukimsikia sauti yake utasema jamaa ni kadinali flani hivi kumbe ni yahaya duuuh....
 
Back
Top Bottom