Jamani nisaidieni kazi yoyote!!!

Jamani nisaidieni kazi yoyote!!!

JF kiboko. siku mbili tu kapata kazi. Hongereni.
 
Ndugu zanguni ninafuraha kuwapata taarifa kuwa nimefanikiwa kupata kazi katika manisipaa moja nchini kama Afisa maendeleo ya mji.Hivyo wote mliojitokeza na kunitia moyo kweli nashukuru sana.Pia nashukuru kwa michango yenu mizuri milokuwa mnachangia ili kuhakikisha kilio changu kinatatuliwa.

Kwa kweli ni furaha isiyo nakifani.
Pia napenda kuchukuwa nafasi hii pia kumuomba msamaha ndugu yangu masanilo kwa kumkwaza na kumdisaapoint kwa jibu nililompa la kutomtumia picha.Kwa kweli sikujua kama siku hizi kama kuna watu wanafanya uhuni wa namna hiyo kwamba mtu anaitwa John kwenye interview halafu anaenda Abdallah.Lakini kwa kifupi hakuna kilichoharabika kikubwa nawatakia kazi njema na moyo kama huu mliouonyesha kwangu uendelee hata kwa watu wengine.

Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki JF na wanachama wake wote kuanzia ngazi ya member mpaka ya JF expert member.

Yours
Sarah

You are welcome. Ila usiache kuja JF baada ya kupata kazi. Endelea kuwa active member. JF kuna mambo mengi sana mazuri na ya kukujenga kila siku zaidi hata ya kupata kazi.
 
Masanilo poleeeeeee!!.
icon9.gif

Teh teh teh teh

Maumivu ya kichwa huanza pole pole!
 
Ndugu zanguni ninafuraha kuwapata taarifa kuwa nimefanikiwa kupata kazi katika manisipaa moja nchini kama Afisa maendeleo ya mji.Hivyo wote mliojitokeza na kunitia moyo kweli nashukuru sana.Pia nashukuru kwa michango yenu mizuri milokuwa mnachangia ili kuhakikisha kilio changu kinatatuliwa.

Kwa kweli ni furaha isiyo nakifani.
Pia napenda kuchukuwa nafasi hii pia kumuomba msamaha ndugu yangu masanilo kwa kumkwaza na kumdisaapoint kwa jibu nililompa la kutomtumia picha.Kwa kweli sikujua kama siku hizi kama kuna watu wanafanya uhuni wa namna hiyo kwamba mtu anaitwa John kwenye interview halafu anaenda Abdallah.Lakini kwa kifupi hakuna kilichoharabika kikubwa nawatakia kazi njema na moyo kama huu mliouonyesha kwangu uendelee hata kwa watu wengine.

Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki JF na wanachama wake wote kuanzia ngazi ya member mpaka ya JF expert member.

Yours
Sarah

Karibu sana!

Nafurahi ulinielewa, furahia kazi yako mpya na uweke bidii taifa letu changa linahitaji wachapa kazi. Kemea ufisadi hapo ulipo kuna usemi wa kisukuma charity starts at home.

Mas
 
Hi Sary..! See, If at first you don't succeed, destroy all evidence that you ever tried! So wait your time will come and God will grant you a good job of your profesion.Keep on sending applications,unanisome eeh?
 
unamaanisha nini kwenye kufeli?
hivi wewe ni graduate kweli japo wa cheti?
mtu anaposema ana advanced diploma mkononi anamaanisha amefaulu ndo maana ana cheti mkononi, kwa taarifa yako kama hujui ni kwamba huwezi kutunukiwa 'kugraduate' kama hujafaulu mitihani yako yote!!.
upo hapo mkuu??


siku hizi kwa taarifa yako watu au waajiri hawaangalii magamba (vyeti) coz watu wanafoji sanaaa, so wanaangalia ujuzi na uzoefu tu.
so don mind about kiwango cha kufaulu mkuu, wewe unaweza kua na GPA yako ya 4.5 na mie nna ya 3.7 nikapata kazi wewe ukakosa. zile zama za soma sana ufaulu upate kazi siku hizi are not applicable.
ni skills na experience tu.

nawasilisha.
icon10.gif
Tunahitajika kudeliver sio kuonyesha A zilizopangwa kwenye vyeti.
Muhimu ni kumsaidia muhusika kama chance ya kufanya hivyo ipo.Haya mambo ya kutaka kuonekana kipanga kwenye sehemu isiyostahili wala haitusaidii
 
Back
Top Bottom