MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
KAma ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe, una uhakika gani kama na wewe hayatakukuta?? akitokea mwingine amrubuni, una uhakika gani kama hatakuacha kama alivyomuacha mumewe wa ndoa?Hata kama nikijiweka haisaidii coz jamaa anaonekana hampi CARE za kutosha na anajua HAPENDWI ila kalazimisha ndoa!!
Tatizo lipo kwenye kutafuta mwingine wa Kuoa ndo issue!!
Nahisi hata kumtorosha kutoka kwa MUMEWE!!
r u blind and de-sensitized?i promise,i will fight for her true love
coz she z the only 1 who can make me fill lyk a ril man!!
kama ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe, una uhakika gani kama na wewe hayatakukuta?? Akitokea mwingine amrubuni, una uhakika gani kama hatakuacha kama alivyomuacha mumewe wa ndoa?
In sshort huyo mdada hana mapenzi ya kweli hata kidogo angekuwa nayo asingekubali kuolewa in the first place
r u blind and de-sensitized?
Duh
Yaani hii ni XXXL Eng upo tayari heshima ishuke lakini kimwana umeoa,sasa kuna mambo mawili ili kufanikisha ili swala lako ila kabla ya yote inatakiwa uwe tayari na huyo binti pia maana ni hatari lakini salama.
1. Inatakiwa ujue huyo jamaa anampenda kiasi gani huyo binti (Anaweza mfumania na wewe kitandani kwake akamsamehe ndoa iendelee ila akadeal na wewe inavyotakiwa)
2.Huyo binti ana nia thabiti yakufanya hivyo maana asije kumridhisha mwingine matakwa yake
3. Jamaa anahasira level gani (kuna watu hawana mchezo kwenye kutunza heshima anaweza kukufanyia kitu mbaya aisee)
Ukipata majibu ya haya na ukaridhika kuendelea na zoezi
-Anzaa kwa kumtia mimba binti
Naendelea kufikiria ...........nitareje.
NB: hii ni hatari kwa afya yako na si vizuri kutenganisha ndoa tafuta msichana mwingine,ila mtoto akililia uwembe mpe panga.
Hii thread kama movie ya kihindi...lol
KAma ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe, una uhakika gani kama na wewe hayatakukuta?? akitokea mwingine amrubuni, una uhakika gani kama hatakuacha kama alivyomuacha mumewe wa ndoa?
In sshort huyo mdada hana mapenzi ya kweli hata kidogo angekuwa nayo asingekubali kuolewa in the first place
ENG.SMASHER jamaniiiiii rudisha sura yako ya zamani mana ulikuwa sex na dental ile wow nimeimishii alot
Rose1980, umefanya vyema kumpa ushauri wa bure huyu ndugu, inaonekana akili yake imefungwa na katika hicho kifungo anaona yeye mshindi, kwa taarifa yake hata atakapokamilisha lengo lake la kumsogeza huyo dada kwake ajue wazi wenzie wataendela kutumia ( hasa huyo jamaa mwenye pesa ) maana huyo mdada si mwanifu kwa viapo vyake.wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.
Tulijaribu kila njia ikashindikana hadi hiyo ya kumvika PETE ya uchumba lakini jamaa akavika juu yake ya NDOA!!
Pls nisaidieni hizo mbinu!!
We kiboko mkuu!!BIG THANKS Mkubwa wewe ndo uliyetoa Point utafikiri umelala nami kichwani mwangu!
1. Jamaa anmkubali Binti sana 2 ingawa hana CARE ambayo Binti anahitaji kutoka mumewe!
2. Ana nia thabiti na yupo tayari kwa lolote coz ananipa data zote za jamaa na mipango 2napanga wote!
3. Yap hapo umenena ngoja nichat nae nimuulize jamaa ana hasira level gan!
Poa hapa zoezi lazima liendelee coz "THERE Z NO FAILURE EXCEPT IN NO LONGER TRYING"
We kiboko mkuu!!
Ila i think you have done enough on your part now its her turn to show her initiatives maana kumtorosha kwa upeo wangu unaweza kwenda jela.(for the husband courtesy he can put the word out and inmates can do the necessary...)
amwambie mumewe kuwa hampendi na anataka talaka yake.
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!
Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!
Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!
Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!
Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!
r u blind and de-sensitized?