Jamani Nisaidieni Mbinu za Kutenganisha Wanandoa!!!

Jamani Nisaidieni Mbinu za Kutenganisha Wanandoa!!!

Hata kama nikijiweka haisaidii coz jamaa anaonekana hampi CARE za kutosha na anajua HAPENDWI ila kalazimisha ndoa!!
KAma ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe, una uhakika gani kama na wewe hayatakukuta?? akitokea mwingine amrubuni, una uhakika gani kama hatakuacha kama alivyomuacha mumewe wa ndoa?

In sshort huyo mdada hana mapenzi ya kweli hata kidogo angekuwa nayo asingekubali kuolewa in the first place
 
kama ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe, una uhakika gani kama na wewe hayatakukuta?? Akitokea mwingine amrubuni, una uhakika gani kama hatakuacha kama alivyomuacha mumewe wa ndoa?

In sshort huyo mdada hana mapenzi ya kweli hata kidogo angekuwa nayo asingekubali kuolewa in the first place

ni nini tena jamani kwanini kupotea hivyo
 
ENG.SMASHER jamaniiiiii rudisha sura yako ya zamani mana ulikuwa sex na dental ile wow nimeimishii alot
 
BIG THANKS Mkubwa wewe ndo uliyetoa Point utafikiri umelala nami kichwani mwangu!
1. Jamaa anmkubali Binti sana 2 ingawa hana CARE ambayo Binti anahitaji kutoka mumewe!
2. Ana nia thabiti na yupo tayari kwa lolote coz ananipa data zote za jamaa na mipango 2napanga wote!
3. Yap hapo umenena ngoja nichat nae nimuulize jamaa ana hasira level gan!
Poa hapa zoezi lazima liendelee coz "THERE Z NO FAILURE EXCEPT IN NO LONGER TRYING"

Duh
Yaani hii ni XXXL Eng upo tayari heshima ishuke lakini kimwana umeoa,sasa kuna mambo mawili ili kufanikisha ili swala lako ila kabla ya yote inatakiwa uwe tayari na huyo binti pia maana ni hatari lakini salama.

1. Inatakiwa ujue huyo jamaa anampenda kiasi gani huyo binti (Anaweza mfumania na wewe kitandani kwake akamsamehe ndoa iendelee ila akadeal na wewe inavyotakiwa)
2.Huyo binti ana nia thabiti yakufanya hivyo maana asije kumridhisha mwingine matakwa yake
3. Jamaa anahasira level gani (kuna watu hawana mchezo kwenye kutunza heshima anaweza kukufanyia kitu mbaya aisee)

Ukipata majibu ya haya na ukaridhika kuendelea na zoezi
-Anzaa kwa kumtia mimba binti
Naendelea kufikiria ...........nitareje.

NB: hii ni hatari kwa afya yako na si vizuri kutenganisha ndoa tafuta msichana mwingine,ila mtoto akililia uwembe mpe panga.
 
Alikubali kuolewa kulinda heshima ya wazazi wake coz alifikia hatua anasema NIFANYE CHOCHOTE ili ndoa isifungwe!!
Lakini kila 2lilokuwa 2nafanya 2nawafikiria wazazi coz ilifikia ha2a ya kwenda church kupinga but REASON siri yangu!!

KAma ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe, una uhakika gani kama na wewe hayatakukuta?? akitokea mwingine amrubuni, una uhakika gani kama hatakuacha kama alivyomuacha mumewe wa ndoa?

In sshort huyo mdada hana mapenzi ya kweli hata kidogo angekuwa nayo asingekubali kuolewa in the first place
 
Tatizo mabinti wa humu waliongeza uthumbufu coz nilivokuwa HB!!
Kila m2 jaman Eng. hiyo dental,thijui MUNGU aliniumba siku aliyokuwa na u2livu sana!!!

ENG.SMASHER jamaniiiiii rudisha sura yako ya zamani mana ulikuwa sex na dental ile wow nimeimishii alot
 
Wazo nililokuja nalo leo baada ya kufikiria jana usiku mzima ni KUMTOROSHA au KUMTIA MIMBA!!!
Jamani JF nipe comment zenu which z GUD IDEA??
 
wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.
Rose1980, umefanya vyema kumpa ushauri wa bure huyu ndugu, inaonekana akili yake imefungwa na katika hicho kifungo anaona yeye mshindi, kwa taarifa yake hata atakapokamilisha lengo lake la kumsogeza huyo dada kwake ajue wazi wenzie wataendela kutumia ( hasa huyo jamaa mwenye pesa ) maana huyo mdada si mwanifu kwa viapo vyake.
 
Wapendwa Mpeni atakacho, hajaomba ushauri as ni sahihi or not, yeye ataka maelekezo jinsi gani aachanishe wana ndoa........then afterwards akifanikiwa ataomba msaada wa lingine.....

Salaam
 
Tulijaribu kila njia ikashindikana hadi hiyo ya kumvika PETE ya uchumba lakini jamaa akavika juu yake ya NDOA!!
Pls nisaidieni hizo mbinu!!

"When I am afraid, I will trust in you ( Lord)" Ps 56:3

Mbinu hiyo hapo juu. signature yako....
 
Kama unavyommega ndivyo wengine watakavyommega ukiamua kumuoa! Achana na uzinzi, keshaolewa tafuta wako. Unajisifia uibilisi!
 
BIG THANKS Mkubwa wewe ndo uliyetoa Point utafikiri umelala nami kichwani mwangu!
1. Jamaa anmkubali Binti sana 2 ingawa hana CARE ambayo Binti anahitaji kutoka mumewe!
2. Ana nia thabiti na yupo tayari kwa lolote coz ananipa data zote za jamaa na mipango 2napanga wote!
3. Yap hapo umenena ngoja nichat nae nimuulize jamaa ana hasira level gan!
Poa hapa zoezi lazima liendelee coz "THERE Z NO FAILURE EXCEPT IN NO LONGER TRYING"
We kiboko mkuu!!
Ila i think you have done enough on your part now its her turn to show her initiatives maana kumtorosha kwa upeo wangu unaweza kwenda jela.(for the husband courtesy he can put the word out and inmates can do the necessary...)
amwambie mumewe kuwa hampendi na anataka talaka yake.
 
Nimejiandaa kwa kila ki2 mtu wangu!!
Namtorosha and then 2naanza kudai talaka akiwa kwangu!!!

We kiboko mkuu!!
Ila i think you have done enough on your part now its her turn to show her initiatives maana kumtorosha kwa upeo wangu unaweza kwenda jela.(for the husband courtesy he can put the word out and inmates can do the necessary...)
amwambie mumewe kuwa hampendi na anataka talaka yake.
 
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!

ni hapo utakapomuoa bomani akawa mkeo na jamaa nae anaendelea kuchapa kama kawa. inakuwa bila bila.
 
Back
Top Bottom