Jamani nisaidieni real story imenikuta leo hii sasa hisia zitaushinda mwili, maamuzi yatakua magumu mno

Jamani nisaidieni real story imenikuta leo hii sasa hisia zitaushinda mwili, maamuzi yatakua magumu mno

DZEKO_10

Member
Joined
May 23, 2023
Posts
12
Reaction score
24
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
 
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
Dogo janja unakimbilia mambo ambayo huyamudu
 
Rekodi kila kitu tunza mahali kama ushahidi alafu endelea na maisha yako.

Kama utamuhitaji sana huyo mtoto mtakuja myajenge nae baadae.

Ila naimani hamtafika uko kama kweli Ni wako watakutafuta tu

Fanya hivyo alafu nishukuru baadae.
 
A
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
Acha utoto, zingatia masomo. Huyo ameshachagua kuwa single maza
 
DZEKO_10 naomba usome bandiko hili na ukitaka kwenda kumwona mtoto wako fuata taratibu za sheria, sio tu utamwona, hata ukitaka kuondoka nae utaondoka nae. Namba zangu zipo kwenye andiko hapa
 
Mwanangu DZEKO_10 nimefurahi umelileta jambo hili kwa wakubwa zako kina sisi.

Naomba nikueleze mwanangu kwanza zingatia masomo yako ili utengeneze future yako. Acha kukimbilia mambo usoyoyaweza kama kuanzisha familia.

Pili kama umezuiliwa kumuona mtoto basi kaa kwa kutulia wenye mtoto wao wamlee. Kwa ufupi huyo mtoto si wako. Kama mtoto ni wako na huyo mkwe wangu anakupenda na hana mtu mwingine angekujali kihisia na kimawazo

Tatu nakushauri umchunie kimya maana kama mtoto ni wako utatafutwa tu.

Pole sana mwanangu usichukue hatua yoyote kwani hasira ni hasara utaishia pabaya
 
Mwanangu DZEKO_10 nimefurahi umelileta jambo hili kwa wakubwa zako kina sisi.

Naomba nikueleze mwanangu kwanza zingatia masomo yako ili utengeneze future yako. Acha kukimbilia mambo usoyoyaweza kama kuanzisha familia.

Pili kama umezuiliwa kumuona mtoto basi kaa kwa kutulia wenye mtoto wao wamlee. Kwa ufupi huyo mtoto si wako. Kama mtoto ni wako na huyo mkwe wangu anakupenda na hana mtu mwingine angekujali kihisia na kimawazo

Tatu nakushauri umchunie kimya maana kama mtoto ni wako utatafutwa tu.

Pole sana mwanangu usichukue hatua yoyote kwani hasira ni hasara utaishia pabaya
Uzi ufungwe sasa
 
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
Huna hata pesa ya nepi na bado unataka mtoto na huku unawaza masomo utaweza mambo yote mawili kwa wakati mmoja?
Kaa kwa kutulia soma kwa bidii jenga maisha yako utatafutwa tu kama ni damu yako,
Lakini pia ukiamua kujiua ni ufala wako maana hutakuwa wa kwanza kufa wewe hivyo achana na hayo mawazo yako ya walioshindwa
 
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
Unataka kuchukua hatua zipi za kuwagharimu nyote??
 
Hilo ni jambo dogo sana bahati mbaya umelifanya kuwa kubwa kipaumbele chako mda huu ni masomo zingatia hilo sifa ya mwanaume ni kukabili yaliyo mazito na yasiyo mazito nilichokiona pande zote mbili bado mna utoto kichwani ukiruhusu hisia za mwanamke zikuendeshe basi utakuwa mjinga...Soma soma
 
Back
Top Bottom