Jamani nisaidieni real story imenikuta leo hii sasa hisia zitaushinda mwili, maamuzi yatakua magumu mno

Jamani nisaidieni real story imenikuta leo hii sasa hisia zitaushinda mwili, maamuzi yatakua magumu mno

Kuwa wa kiume dogo,nenda kachukue damu yako mwanamke anakuleteaje pigo za kibabe.?
 
Enzi nasoma Udsm shule ilikuaga ngumu kiasi kwamba hata wanawake nilikua nawaona kama wanaume wenzangu wanaopenda kuvaa skirt.... Nimeamini udsm siku hizi ni chuo cha kata, madogo wanawaza tu kuchakata mbususu kama Rikiboy
 
achukue maamuzi yepi mengine, mtoto ashazaliwa hayo mengine mbwembwe tuu,, ameshaona una kimumuhe na karoho kahuruma hivi.. atakupelekesha usipokuwa makini.. we soma kwanza achana na mapenzi unajichanganya tuu,, ukidisco hapo ndo utajua hujui.. kula kitabu kwanza dogo!!!
 
miaka 23 uzoefu kwenye mapenzi miaka Saba. vijana nawashauri mpunguze haya mambo. yanawaharibia sana future zenu.
 
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
Huyo ni hasira tu Yan dem mpka anakushirikisha kumpa jina mtoto afu ety hatak umuone....

Hahahahahahahaha ACHA nicheke kwanza kuwa mpole huyo atarud tu mwenyewe kwny mstari
 
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
Unasoma nn hapo UDSM unashindwq ku summarise unatuandikia mpaka sms. Andika kwa ufupi hoja nn siyo kuleta magazeti yaliyojaa dibaji
 
Huo uandishi na unasema upo Chuo? Chuo madrasa au chuo gani? Na akili hizo kweli utakakuwa chuo gani?
 
Trust me bwanamdogo huyo mtoto sio wako.
Utajiumiza bure na atakuona wewe ni mpumbavu tu unajiua kwa kung'ang'ania damu ambayo sio yako.

Anaelekea kuolewa huyo kakutafutia sababu tu, muulize cheti cha mtoto kimeandikwa jina gani??
 
Ongea na wazazi wako wajulishe. Acheni kujifanya mmekomaa akili. Wazazi watawasaidia.
 
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni
NI hasira zile mpe muda apoe na arudi kwa heshima. saivi piga kitabu.
 
Mapenzi yatakuharibia maisha chunga sana uo umri mjomba pengine mtoto si wako we kuwa mwanaume kauli moja, mwambie kama mtot ni wangu nitafute kama si wangu na usinijue na futa namba yangu drama sitaki fullstop tena mchenjie haswa , tafuta namba za marafiki zake kuujuwa ukweli na kupata updates then soma tafuta hela una majukumu now kuwaza hakusidii
 
Hello guys samahani mimi ni kijana miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili UDSM, nilikua na mwanamke wangu ambae tumedumu kwa miaka takribani 7 sasa tangu form 2, mwaka jana nilimpatia ujauzito kwa mwanzo niliutumikia fresh japo tupo mbali me nipo dar ye yupo msoma, shida ni kwamba kuna mda life likanipiga kiasi kwamba nikashindw kumudu na likanipiga wakati ambao yeye anahitaji msaada sana na suala la mimba hakuwa amewambia wazazi wake alikua anafahm yy tu,maana hakai kwao ameajiliwa msoma hapo sasa wadau....

Mwanamke alipoanza kuona anauhitaji then me simsaidii akaona kama nimemsusia na hivo kwakua yuko mbali akajenga akilini mwake kuwa nadet na wadada wa chuo nimemtelekezea mimba,nakula bata sana kitu ambacho sifanyi for sure yaani

Kwa navyompenda nakumuheshimu angejua!! Daah mimba ilitegemewa kuzaliwa mwezi wa tano kati ya tarehe 17 hadi 23,mwaka huu sa kuna siku akanambia kuwa kwakua simsaidii hata akijifungua hatonambia wala hatotaka nimwobe mtoto for sure nilijaribu kumwelekeza akagoma.

Na mawasiliano yakawa hakuna kabisa kweli nikaa kimya sasa mpk juzi tarehe 1 june machale yakawa yananicheza sana ikabidi nikawa namwazia ikabid nimtafte nimuulize anaendeleaje, but cm hakua nayo yy alikua nayo rafk ake nikacht kidogo na shem ake sa kwa jinsi nilivochat nae shem lake ndo akanitumia sms zilizoniacha njia panda nikashindwa kuelewa kama mimba ametoa,au mama mtu amefariki au ameshajifungua.

Jana usiku mungu saidia akanitafta mwenyewe watsap

"Mambo"

Me; Poa then

Mama mtu: Jina gani la mtoto wa kiume unalolipenda

Me; na majina mengi ngoja niyafatilie kiundani nifahamu maana zake

Mama mtu;poa usiku mwema.

Leo sasa tarehe 3 jumamosi nimemtafta ili nimpe jina nalolipenda nilibahatika kupata majina mawili tu,ili achague moja..nikamchek watsap maana alikua online.

Asee nikamtumia jina akasema nimelioenda jina fulani.

Baada akanitumia pics 2 na video 1 vilivonitoa machozi wadau maana amenitumia picha ya mtoto na video alomrekodi daah..nikakosa cha kusema maana leo ni wiki ya pili toka ajifungue ndo amenijulisha ati..na amesema nimuone kwenye picha tu hataki hata nikamwne mtoto wala hataki kuongea na mm akifai nimemtelekza but sikuwaza hivo kabsa yan.

Nampenda ila kwa alipofikia na maneno alinambia I'm near to die real,kabla sijafanya maamuzi yoyote yale ambayo yanaweza kuwa batili kwangu na kwake pia naombeni kama kuna mwenye ushauri anipee wa kujenga sio wa kubomoa asee.

Kasema mtoto hata niende kwa nani simpati kweli? Sasa kauli zake ndio zinazifanya nifikilie kuchukua hatua ambazo sio sahihi na hatua hizo ni za kutugharimu wote mm na yeye. nisaidieni

Jitafute kwanza. Weka shule mbele kwanza, mtoto utamlea tu na kumuona
 
Back
Top Bottom