Jamani shilingi yetu inashuka balaa dhidi ya dolla ya Marekani

Mleta UZI ni mchochezi,akichukuliwa hatua aanze kulaumu serikali
Uchochezi upo wapi
 
Unajua JF siyo ya GT tena unaweza ukaleta taarifa yoyote tu hata haina haina uhakika na mods wakakuacha tu. Ninavyojua realible source ni Benki za hapa TZ na wala si google wala Yahoo!
Unajidanganya sana wewe ,,, tena sana mambo yapo wazi kbs inamaana leo google wamekosea mbona zamani ilikuwa the same kwa Google na huku, usilete siasa hapa
 
Nafikiri kulikuwa na makosa Imerekebishwa na sasa ipo kati ya 2,240-2,250 kwa Usd 1.

Lakini tujiulize kuna hujuma na pesa yetu?

Serikali ichukue hatua hili linatuhusu wote watanzania.
Nashukuru sana Jamii Forum.
Jamii Forum ni nembo ya Tanzania. Maana vijana wengi wamekuwa wanapaza SAUTI sana. Na tunaweza kuelewa kila kitu kinachoendelea katika Tanzania na dunia nzima kwa ujumla, kwa iyo Taasisi za serikali zisione kaaama zinafatilia michongo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…