Jamani shilingi yetu inashuka balaa dhidi ya dolla ya Marekani

Jamani shilingi yetu inashuka balaa dhidi ya dolla ya Marekani

d0b9f6431bee82bd7176bd61c803e4df.jpg
hii ni exchange rate kutoka B. O. T
 
Anayekwambia kuwa uchumi unapaa,na huku anaelewa wazi kuwa wewe huna mabawa,ni sawa na mwanariadha anayemwambi kiwete "tukimbizane kama ukinishika nakupa magongo ya kutembelea"!!!
 
Haina madhara kwa Masikini kama wewe...!
Kwanza huna hata akiba ya Pesa Benki, mshahara wote wa October umekwisha lipia Madeni...!

Dola ya Kimarekani, imewahi kuwa sawa na Shilingi mia moja ya Tanganyika...!!

Umepata Madhira gani Kiuchumi mpaka sasa.

Shukuru Mchele na Sembe ama Ngano, vingali na bei ileile...!
Huo mchele au sembe huwa unaletwa na Miguu..
 
Haina madhara kwa Masikini kama wewe...!
Kwanza huna hata akiba ya Pesa Benki, mshahara wote wa October umekwisha lipia Madeni...!

Dola ya Kimarekani, imewahi kuwa sawa na Shilingi mia moja ya Tanganyika...!!

Umepata Madhira gani Kiuchumi mpaka sasa.

Shukuru Mchele na Sembe ama Ngano, vingali na bei ileile...!
Umeandika kipumbavu sana mkuu

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kama tunaweza kuuza bidhaa nje hii ni neema kwetu.na kama hatuna uwezo huo wa kuuza nje hii kwetu ni madhara makubwa nchini
Tuuze nini sasa, Masogange mwenyewe ndio huyo wanamsakama sidhani hata kama anapata nafasi ya kusafiri nje.
 
Acha ishuke mkuu labla ndiyo lengo la Tanzania yetu ya viwanda.
 
Siku hizi hadi babukijana polepole ni mchumi, ataitisha press conference kukanusha
 
Back
Top Bottom