Jamani sisi wadada na magari tupunguze

Jamani sisi wadada na magari tupunguze

Tatizo kuna wanawake wanajirahisisha sana acha wachezewe tu yaani mtu anajishusha thamani anatoa mzigo kisa lifti ya gari? Yaani hata kama ingekuwa ni lifti ya ndege mimi eti mwanaume aniombe mzigo kisa kanipa lifti hayo majibu ambayo ningempa asingeamini masikio yake
Unaposema kitu uwe unakimaanisha.. Huko kunaitwa kupumua huku umevaa headphones
 
Ni kuwatandika mijegeje hadi mfumuke mishono hiyo dadadeq!
 
Leo nimefurahia sana kituko kimetokea maeneo fulani nikaribu mastendi ya hapo na kwetu.
Mudada alizoea kupewa lift na jamaa inavyosemekana kila siku asubuhi kama miezi mitatu hivi anakuja kwa huyo dada na pia amelala naye mara kibao akizani ni tajiri.
Imepita miezi kama minne na huyu jamaa haji tena kwa msichana na wala hampi lift.
LEO MIDA YA SAA 11
Ameshuka kwenyw kidaladala akaona lile gari akalikimbilia julius julius subiri kwa maana lilipaki mbele ya haice aliyokuwepo ndani yake halafu ilimshusha msichana .
Kushuka nakuita kwa sauti..
Gari ikasimimama ila sio yeye ni mtu mwingine kuhojiana yule alikuwa dereva na yupo off kwa leo .
Dar wadada tuweni makini wengine nivibarua tujipende kwani gari shillingi ngapi
pole kwa yaliyokukuta.
 
Leo nimefurahia sana kituko kimetokea maeneo fulani nikaribu mastendi ya hapo na kwetu.
Mudada alizoea kupewa lift na jamaa inavyosemekana kila siku asubuhi kama miezi mitatu hivi anakuja kwa huyo dada na pia amelala naye mara kibao akizani ni tajiri.
Imepita miezi kama minne na huyu jamaa haji tena kwa msichana na wala hampi lift.
LEO MIDA YA SAA 11
Ameshuka kwenyw kidaladala akaona lile gari akalikimbilia julius julius subiri kwa maana lilipaki mbele ya haice aliyokuwepo ndani yake halafu ilimshusha msichana .
Kushuka nakuita kwa sauti..
Gari ikasimimama ila sio yeye ni mtu mwingine kuhojiana yule alikuwa dereva na yupo off kwa leo .
Dar wadada tuweni makini wengine nivibarua tujipende kwani gari shillingi ngapi
Nahis huyo dada niwew,..maana uko detailed sanaaa
 
Wadada wanaujinga sana kuhusu mtu kumiliki gari....
 
Wanawake wengi wanapenda sana gari na ukiwa na gari unampata kirahisi.

Nakumbuka wakati nimemaliza school, nilikuwa sina ramani.
Nikimtongoza mwanamke akazingua, nilikuwa nikimpa promise ya kumtoa out akakubali tu. Nakwenda kumchukua kwa gari la brother; mara nyingi mtoko wetu uliishia lodges.

Hata sasa wengi wapo hivyo.
 
Tufanye kazi, tununue yetu tuwape wao lift!

Hivi hakuna drivers wanawake?!
Naomba ajira hiyo, mie mwaminifu sana!
 
Leo nimefurahia sana kituko kimetokea maeneo fulani nikaribu mastendi ya hapo na kwetu.
Mudada alizoea kupewa lift na jamaa inavyosemekana kila siku asubuhi kama miezi mitatu hivi anakuja kwa huyo dada na pia amelala naye mara kibao akizani ni tajiri.
Imepita miezi kama minne na huyu jamaa haji tena kwa msichana na wala hampi lift.
LEO MIDA YA SAA 11
Ameshuka kwenyw kidaladala akaona lile gari akalikimbilia julius julius subiri kwa maana lilipaki mbele ya haice aliyokuwepo ndani yake halafu ilimshusha msichana .
Kushuka nakuita kwa sauti..
Gari ikasimimama ila sio yeye ni mtu mwingine kuhojiana yule alikuwa dereva na yupo off kwa leo .
Dar wadada tuweni makini wengine nivibarua tujipende kwani gari shillingi ngapi
Nyie hata gari ikiwa branded mwili mzima (VODA, AIRTEL, TIGO, TTCL etc) mnakwendaga na maji tu..... Nahisi nyoka alimwambia kitu EVA kuhusu magari....
 
Back
Top Bottom