[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaa. Labda Kaka ila sina hakika kama ni za kiwango hicho anachokisema mleta uzi sababu si wajua tena vile dada yako ninavyokaa masafa marefu. [emoji85] [emoji85].
[emoji2][emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]He he umesikia nimeolewa na nani vile
KumbeeeZipo zipo mwenzangu cjui ndo mfungo sita huu naona kila mtu anaweka jiko ndani mapeeemaaa
Hahaaa. Itakuwa sio bure.Harusi ni kawaida labda za huku amezipenda tu
Una kesi ya kujibu mdogo wangu. Baadae njoo kule unielezee kinaga ubaga kabla dada yako sijanuna.Nimekukimbia cjakuaga jamaaani uuuuwii
Alhamdulillah namshukuru sir God kwa uzima vp ww?,halafu ur missed kuleeeee...[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]. Uko poa?
HahhaahahYule ambae hukuvutiwa na muonekano wake lakini anataka kukuoa tayari ameshakuweka ndani?[emoji28][emoji28][emoji28]
Itabidi name niende Tanga nikaoeDooh nimekaa miez sasa lkn hizo harusi nilizohesabu ambazo naziona na nilizoalikwa hatar
Mmhh hapana aiseee hiv watu wanaosema hakuna wanawake wa kuwaoa au hakuna wanaume wa kuoa mbona huku ndoa kila siku tu
Au ndo kutoa mkosoiii jamn wenyeji hii ni fashion tu au ndo kutoa mkosi alafu mtarud home
Hakuna tofauti na Zanz .... kubwa wanaongoza kuachana pia .Dooh nimekaa miez sasa lkn hizo harusi nilizohesabu ambazo naziona na nilizoalikwa hatar
Mmhh hapana aiseee hiv watu wanaosema hakuna wanawake wa kuwaoa au hakuna wanaume wa kuoa mbona huku ndoa kila siku tu
Au ndo kutoa mkosoiii jamn wenyeji hii ni fashion tu au ndo kutoa mkosi alafu mtarud home