Jamani Tanga kwa harusi hapana

Jamani Tanga kwa harusi hapana

Hahahaa. Labda Kaka ila sina hakika kama ni za kiwango hicho anachokisema mleta uzi sababu si wajua tena vile dada yako ninavyokaa masafa marefu. [emoji85] [emoji85].

[emoji2][emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ingekuwa wakati wa talaka pia.ni sherehe.tungeona mengi hao wanatoa nuksi tuu.
 
Dooh nimekaa miez sasa lkn hizo harusi nilizohesabu ambazo naziona na nilizoalikwa hatar

Mmhh hapana aiseee hiv watu wanaosema hakuna wanawake wa kuwaoa au hakuna wanaume wa kuoa mbona huku ndoa kila siku tu
Au ndo kutoa mkosoiii jamn wenyeji hii ni fashion tu au ndo kutoa mkosi alafu mtarud home
Itabidi name niende Tanga nikaoe
 
Dooh nimekaa miez sasa lkn hizo harusi nilizohesabu ambazo naziona na nilizoalikwa hatar

Mmhh hapana aiseee hiv watu wanaosema hakuna wanawake wa kuwaoa au hakuna wanaume wa kuoa mbona huku ndoa kila siku tu
Au ndo kutoa mkosoiii jamn wenyeji hii ni fashion tu au ndo kutoa mkosi alafu mtarud home
Hakuna tofauti na Zanz .... kubwa wanaongoza kuachana pia .
 
Back
Top Bottom