FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Magari ya umeme ndio future ya usafiri ilipangwa kwa sasa; hata wanaozalisha magari wengi wao wanaweka 'hybrid systems' ili hayo magari yaweze kutumika hata pale magari yenye sumu ya moshi yatakapopigwa marufuku. Nchi nyingi za Ulaya zitapiga marufuku magari yenye sumu ya ukaa by 2030. Vinu vya nyuklia vya umeme vitaongezeka kwa kasi Ulaya na Marekani, mabwawa ya umeme na wind mills pia (clean energy).
Afrika peke yetu ndio tutabaki kuwa soko la sumu (fossil fuel) toka kwa waarabu hasa Saudi Arabia, hali itakayofanya waarabu kugombea kutuuzia mafuta inexchange for grains na vyakula vya aina nyingine. Katika kulijua hili na kwa kuona kwake mbali Mh. JPM ameshaanza mchakato wa ujenzi wa bwawa kubwa la umeme almaarufu kama Stieglers Gorge litakaloweza kuzalisha MW 6000 at full capacity, ili magari yanayotumia sumu ya ukaa (fossil fuel) yatakapokuwa phased out na magari ya umeme basi Tanzania tutakuwa tunajidai tu; pia Mh. JPM anaendelea na mchakato wa ujenzi wa reli ya SGR ambayo nayo itatumia umeme.
Waarabu wana hali mbaya sana na Dubai wamegundua hatari hii, ndio maana wanabadilisha utegemezi kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye utalii, hadi wanajenga visiwa bahari (Palm island). Waarabu literally watakuja kupiga magoti Tanzania in particular wakiomba tuwapatia walau tani milioni kadhaa za nafaka, kwani bwawa la Stiegler's Gorge litawezesha kilimo cha umwagiliaji hivyo kuongeza uzalishaji mara 50 kiasi cha kuweza kulisha Afrika nzima. STIEGLER'S OYEE, pale Sinza watajaa watoto wakali toka uarabuni, itakua ni kujichagulia tu, STIEGLER'S OYEEE, JPM OYEEE!
Bila kusahau kwamba ongezeko la vinu vya nuklia itasababisha uhitaji mkubwa sana wa madini ya URANIUM, hivyo kwakuwa Tanzania ina migodi ya URANIUM kwa wingi sana huko Lindi, basi Wamarekani na wazungu kwa ujumla hawatakua na budi bali kutulamba miguu ili tuweze kuwapatia hiyo URANIUM tuliyonayo na si ajabu kasi ya uchimbaji madini hayo imeongezeka sana huko Lindi, kiasi by 2030 inaweza ikawa imeisha, ningeomba kwa sasa JPM asitishe usafirishaji/utoroshaji wa Uranium hadi pale mustakabali wa suala hili utakapoeleweka ili tuje kuiuza baadae kwa bei ya kuringa na kunata, kuliko hivi sasa wanavyojichotea Uranium kama ya bibi yao vile, hili halikubaliki.
Kipande kidogo tu cha Uranium kinaweza kuzalisha umeme wa kuilisha Marekani kwa miaka hata 10, acheni utani na masikhara kwenye Uranium yetu, tunaijua thamani yake, waTanzania wa sasa tumeelimika!
================================
Update: 26/04/2020
Bei ya pipa la mafuta ghafi nchini Marekani yashuka na kufikia chini ya $0 - JamiiForums
=================================
Update: 10/01/2021
=================================
Update: 22/01/2021
Ndege za umeme mbioni kuzinduliwa
=================================
Update: 11/02/2021
===========================
Update: 28/07/2023
Kutumia gari la Sumu ya ukaa Lomdon utalipa dollar 30 kwa siku
=======================
Update: 20/08/2023
www.jamiiforums.com
Afrika peke yetu ndio tutabaki kuwa soko la sumu (fossil fuel) toka kwa waarabu hasa Saudi Arabia, hali itakayofanya waarabu kugombea kutuuzia mafuta inexchange for grains na vyakula vya aina nyingine. Katika kulijua hili na kwa kuona kwake mbali Mh. JPM ameshaanza mchakato wa ujenzi wa bwawa kubwa la umeme almaarufu kama Stieglers Gorge litakaloweza kuzalisha MW 6000 at full capacity, ili magari yanayotumia sumu ya ukaa (fossil fuel) yatakapokuwa phased out na magari ya umeme basi Tanzania tutakuwa tunajidai tu; pia Mh. JPM anaendelea na mchakato wa ujenzi wa reli ya SGR ambayo nayo itatumia umeme.
Waarabu wana hali mbaya sana na Dubai wamegundua hatari hii, ndio maana wanabadilisha utegemezi kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye utalii, hadi wanajenga visiwa bahari (Palm island). Waarabu literally watakuja kupiga magoti Tanzania in particular wakiomba tuwapatia walau tani milioni kadhaa za nafaka, kwani bwawa la Stiegler's Gorge litawezesha kilimo cha umwagiliaji hivyo kuongeza uzalishaji mara 50 kiasi cha kuweza kulisha Afrika nzima. STIEGLER'S OYEE, pale Sinza watajaa watoto wakali toka uarabuni, itakua ni kujichagulia tu, STIEGLER'S OYEEE, JPM OYEEE!
Bila kusahau kwamba ongezeko la vinu vya nuklia itasababisha uhitaji mkubwa sana wa madini ya URANIUM, hivyo kwakuwa Tanzania ina migodi ya URANIUM kwa wingi sana huko Lindi, basi Wamarekani na wazungu kwa ujumla hawatakua na budi bali kutulamba miguu ili tuweze kuwapatia hiyo URANIUM tuliyonayo na si ajabu kasi ya uchimbaji madini hayo imeongezeka sana huko Lindi, kiasi by 2030 inaweza ikawa imeisha, ningeomba kwa sasa JPM asitishe usafirishaji/utoroshaji wa Uranium hadi pale mustakabali wa suala hili utakapoeleweka ili tuje kuiuza baadae kwa bei ya kuringa na kunata, kuliko hivi sasa wanavyojichotea Uranium kama ya bibi yao vile, hili halikubaliki.
Kipande kidogo tu cha Uranium kinaweza kuzalisha umeme wa kuilisha Marekani kwa miaka hata 10, acheni utani na masikhara kwenye Uranium yetu, tunaijua thamani yake, waTanzania wa sasa tumeelimika!
================================
Update: 26/04/2020
Bei ya pipa la mafuta ghafi nchini Marekani yashuka na kufikia chini ya $0 - JamiiForums
=================================
Update: 10/01/2021
=================================
Update: 22/01/2021
Ndege za umeme mbioni kuzinduliwa
=================================
Update: 11/02/2021
===========================
Update: 28/07/2023
Kutumia gari la Sumu ya ukaa Lomdon utalipa dollar 30 kwa siku
=======================
Update: 20/08/2023
Imebaki miaka 18 mafuta kuisha United Arab Emirates
Baada ya sakata kuendelea kupamba moto huku na huku. Imenibidi nianze kuifuatilia United Arab Emirates. Nimefuatilia historia yao na mimefuatilia uchumi wao. Chanzo kikubwa cha mapato katika nchi yao ni mafuta. Hiki ndicho chanzo kikubwa cha mapato. Sasa cha kushangaza kabisa ni kutokana na...