Jamani this is serious, nchi tajiri za Kiarabu kuwa ombaomba Afrika by 2030

Jamani this is serious, nchi tajiri za Kiarabu kuwa ombaomba Afrika by 2030

Mada zako nyingi unajitaidi kuzunguka mbuyu ila maudhui yako unalenga waislam sana na uislam(NADHANI UNAPATA SANA FRAHA KWA HILI) Nikukumbushe tu sijaona dini ilokamilika

Samahani kwa mawazo yangu mkuu. na ukweli nachukia udini na dini yoyote ni utumwa
Mleta mada anaweka mbwembwe nyingi lakini kuna somewhere ana hoja:
Personally nimeshuhudia Finland wametengeneza windmill ya new technology yenye uwezo wa kuzalisha umeme mwingi hata kwenye upepo mdogo. personally niliwauliza watengenezaji pamoja na mamlaka zilizowezesha financing ya hiyo project kuwa kwanini such an expensive project wakati hawana shida ya power(kwasasa wanatumia nuclear),
walijibu kuwa wanahitaji more cleaner energy
 
3F877754-7774-4B33-BF27-41C6E966E7BE.jpeg
 
 
The clock is ticking, New World Order, ‘Work from home’, Digitally, electronically, online.
 
Afrika peke yetu ndio tutabaki kuwa soko la sumu (fossil fuel) toka kwa waarabu hasa Saudi Arabia, hali itakayofanya waarabu kugombea kutuuzia mafuta inexchange for grains na vyakula vya aina nyingine. Katika kulijua hili na kwa kuona kwake mbali Mh. JPM ameshaanza mchakato wa ujenzi wa bwawa kubwa la umeme almaarufu kama Stieglers Gorge litakaloweza kuzalisha MW 6000 at full capacity, ili magari yanayotumia sumu ya ukaa (fossil fuel) yatakapokuwa phased out na magari ya umeme basi Tanzania tutakuwa tunajidai tu; pia Mh. JPM anaendelea na mchakato wa ujenzi wa reli ya SGR ambayo nayo itatumia umeme.

Waarabu wana hali mbaya sana na Dubai wamegundua hatari hii, ndio maana wanabadilisha utegemezi kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye utalii, hadi wanajenga visiwa bahari (Palm island). Waarabu literally watakuja kupiga magoti Tanzania in particular wakiomba tuwapatia walau tani milioni kadhaa za nafaka, kwani bwawa la Stiegler's Gorge litawezesha kilimo cha umwagiliaji hivyo kuongeza uzalishaji mara 50 kiasi cha kuweza kulisha Afrika nzima. STIEGLER'S OYEE, pale Sinza watajaa watoto wakali toka uarabuni, itakua ni kujichagulia tu, STIEGLER'S OYEEE, JPM OYEEE!
Mwaka 2021 wakati bado asilimia kubwa ya waafrika hawana maji safi ya kunywa , hawana uhakika wa mlo wa siku, na wanatumia vyoo vya shimo, tunafikiria Waarabu watakula nini mwaka 2030!

Anyway, kama hujui kuna kitu kinaitwa Sovereign Wealth Fund. Kiasi cha fedha wanachopata kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo hayo mafuta wanafanyia investment kote Duniani kwa ajili ya vizazi vyao vya sasa na baadae. Kwa hiyo usiwahofie, hata kama maisha yatakuwa nje ya sayari ya Dunia, wao pia watakuwa tayari kuhamia huko maana wamekwishaanza kufanya space exploration na uwezo watakuwa nao.

Jielimishe kuhusu Sovereign Wealth Fund Assets

Wealth Fund.png
 
Mwaka 2021 wakati bado asilimia kubwa ya waafrika hawana maji safi ya kunywa , hawana uhakika wa mlo wa siku, na wanatumia vyoo vya shimo, tunafikiria Waarabu watakula nini mwaka 2030!

Anyway, kama hujui kuna kitu kinaitwa Sovereign Wealth Fund. Kiasi cha fedha wanachopata kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo hayo mafuta wanafanyia investment kote Duniani kwa ajili ya vizazi vyao vya sasa na baadae. Kwa hiyo usiwahofie, hata kama maisha yatakuwa nje ya sayari ya Dunia, wao pia watakuwa tayari kuhamia huko maana wamekwishaanza kufanya space exploration na uwezo watakuwa nao.

Jielimishe kuhusu Sovereign Wealth Fund Assets

View attachment 1877259
Mbona umerudia nilichoandika sasa, si hivyo tu, nimetaja na uwekezaji wanaofanya kwenye utalii ikiwemo kujenga Palm Island.
 
 
Nchi za kiarabu zimebarikiwa, Mungu amewapa utajiri wa mafuta na wataendelea na utajiri wao, wazungu na mipango yao ya kutengeneza magari yasiyotumia mafuta haitawaathiri chochote waarabu, watarudi kulekule kwenyi fuel, na mafuta hayamtegemei magari bali majenereta, pumps, baadhi ya treni n.k.

Kwanza ninawasiwasi na hizo gari za umeme, je enjini zake zitatoa sauti ya kuvutia kama zirivyo za mafuta? 😁 wakati dunia ya sasa wanapenda gari zenye sauti ya kuvutia kama vile Land cruiser 1hd, Lamborghini, Mustang GT, Imprezza, Camaro n.k. aise watuache nchi za afrika na mafuta yetu ata kama ni uchafuzi sawa tuuu
 
Urafiki na Upendo wa ghafla toka kwa waarabu. Kweli 2030 imekaribia.

 
Tuna madini lakini wananchi masikini, gesi wakaja na sound za umeme utakuwa wa bei ya chini lakini bado gharama zipo juu kwa hiyo hata hiyo Uranium sio yetu, unaweza ukakuta kapewa mzungu tokea awamu ya Kikwete. Ila kuhusu soko la mafuta wataalam wanatabiri 2035 waarabu watakuwa na hali mbaya na 2050 ndio watakuwa na hali mbaya kabisa.
Hizo akili zenu ni usumbufu tu Saud Arabia iliombewa dua na Nabi Ibrahim kuwa iwe ina kheri yani ikisha mahitaji ya Oil na Gas basi wanyama na mito na kheri zote zilioko Africa zitahamia Saud Arabia na Jiran zao mtabaki na ndoto tu mwarabu hawezi kuwa omba omba kwa mawazo yenu
 
Hizo akili zenu ni usumbufu tu Saud Arabia iliombewa dua na Nabi Ibrahim kuwa iwe ina kheri yani ikisha mahitaji ya Oil na Gas basi wanyama na mito na kheri zote zilioko Africa zitahamia Saud Arabia na Jiran zao mtabaki na ndoto tu mwarabu hawezi kuwa omba omba kwa mawazo yenu
Naona unataka kuugeuza mjadala huu wa kidini, ila fuatilia future mpya ya technology nchi nyingi hasa za ulaya wanapunguza sana matumizi ya mafuta.

Wenyewe Saudi Arabia kupitia kampuni yao wanaliona. Mimi mwenyewe naamini ktk Mungu na Ibrahim na ndio maana Mungu katupa utashi tuutumie tunapopita nyakati ngumu na ndio.Saudi sasa wana projects nyingi mojawapo ni kuwa na kiwanda kikubwa cha kuzalisha magari ya umeme.

 
Waarabu bila mafuta hamna lingine, kazi yao kuvaa mikanzu tu na kulea mindevu...
Hayo mafuta yaligunduliwa na wazungu...
 
Back
Top Bottom