Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Akili za kufikiria anazo ?Yaani hata siamini kinachotaka kutokea, hivi huyu mama anafikiria nini kichwani kwake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kufikiria anazo ?Yaani hata siamini kinachotaka kutokea, hivi huyu mama anafikiria nini kichwani kwake?
Wameenda na Congo leo wamesaini mkataba wa kuingia kwenye sekta ya madini , nakwambia Afrika inakuwa koloni tena we subiri , nchi za subsaharan Afrika akili zipo makalioniYaani hata siamini kinachotaka kutokea, hivi huyu mama anafikiria nini kichwani kwake?
Daah, yaani wameshtuka mapema ili wakifika 2030 ambapo biashara ya mafuta itaondoka na wao watakuwa wameikamata Afrika kama LubaWameenda na Congo leo wamesaini mkataba wa kuingia kwenye sekta ya madini , nakwambia Afrika inakuwa koloni tena we subiri , nchi za subsaharan Afrika akili zipo makalioni
Ndoto, au sioKuna watu wanajua kuota.
sarakasi hizi hakuna lolote hapoUpdate: 28/07/2023
Kutumia gari la Sumu ya ukaa London utalipa dollar 30 kwa siku
View attachment 2701323
Wataka waikamate mara ngapi?Daah, yaani wameshtuka mapema ili wakifika 2030 ambapo biashara ya mafuta itaondoka na wao watakuwa wameikamata Afrika kama Luba
Afrika tutakuwa koloni upya ilikusupply hizo raw materialsarakasi hizi hakuna lolote hapo
EV haziwezi take over , siyo kwa sasa kabisa
issue ya batteries(madini ya Lithium) bado ni changamoto
Gari zako za kuchaji watu wanaanza kuzikataa na makampuni makubwa ya magari yanaanza kuyapunguza kwenye mipango yao ya baadae ya uzalishajiAkili kama zako ndio zinasababisha akina Elon Musk wanakuwa matajiri namba moja duniani, pale unapoacha wewe gap mwenzako ndio ana cover na kupiga mpunga, haya, search mabasi makubwa ya umeme youtube kwanza..
Hizo ni hiccups tu, ila njia ndio hiyo, it is the inevitable futureGari zako za kuchaji watu wanaanza kuzikataa na makampuni makubwa ya magari yanaanza kuyapunguza kwenye mipango yao ya baadae ya uzalishaji
![]()
Auto execs are coming clean: EVs aren't working
With signs of growing inventory and slowing sales, auto industry executives admitted this week that their ambitious electric vehicle plans are in jeopardy, at least in the near termafrica.businessinsider.com
Yeah, ngoja Fossil fuel zipigwe marufuku kabisa..Bado miaka 6 tu, Qatar waanze kuomba omba misaada Burundi.