Pengo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 579
- 10
Ndugu watanzania wenye nia nzuri na maendeleo ya nchi yetu hususani wapenda soka nawaomba kwa hisani yenu kuweza kumpa mawazo yaliyo mema ili kumrudisha kundini kijana Athmani Idd Chuji mchezaji wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa.
Kwa mujibu wa rafikie wa karibu aitwae Alela wa Dodoma,ni kwamba Chuji sasa amekuwa mlevi wa kupindukia kiasi cha kumfanya ashindwe kuhimili mikikimikiki ya mchezo huo uwanjani.
Kwa mujibu wa bwana Alela ambaye ni rafiki wa siku nyingi wa Chuji,licha ya kusoma shule moja Jamhuri pia walichezea timu moja ya Mjimpya SC na Polisi zote za Dodoma,tatizo hilo tayari limefika kwa babake Chuji mzee Idd Athman na mzee kafanya kikao cha pamoja kati ya mwanae(Chuji) pamoja na Ambari Mtoro(mchezaji wa zamani wa CDA) lakini Chuji akakivunja kikao kwa kumwambia babake kuwa yeye hatumii hayo mavitu kwani walishawahi kumwona?Kuona hivyo mzee Idd akasema basi mungu ndiye atakaye kuongoza kama kweli hutaki kuacha hayo maulevi.
Pamoja na Chuji kupata pesa kiasi Fulani pale jangwani hadi leo hana hata kiwanja cha kupakaziwa si DSM wala Dodoma,na akifika Dodoma yeye analala kwenye nyumba ya bababe pale Nkuhungu.
Kwa mujibu wa Alela,kocha wa Yanga(Papic) alimpigia simu baba Chuji na kumweleza hali ya mwanae na kuwa hata kuachwa kwaake timu ya taifa ni kutokana na maulevi hayo,akamwomba wamsaidie kuokoa hali ya Chuji kwani anapoelekea si kwema.
Hivi sasa Chuji akijikuna anatoka vipele huku analalamika eti ni sababu ya mazoezi ya kocha mzungu,amesema Alela.
Ndugu zangu wana jamii tafadharini nawaomba sana tumuokoe huyu kijana kwani wenzie wengi kama Christopher Alex Massawe tayari wamehathirika na hawawezi kurudia hali yao ya kawaida.
Kwa mujibu wa rafikie wa karibu aitwae Alela wa Dodoma,ni kwamba Chuji sasa amekuwa mlevi wa kupindukia kiasi cha kumfanya ashindwe kuhimili mikikimikiki ya mchezo huo uwanjani.
Kwa mujibu wa bwana Alela ambaye ni rafiki wa siku nyingi wa Chuji,licha ya kusoma shule moja Jamhuri pia walichezea timu moja ya Mjimpya SC na Polisi zote za Dodoma,tatizo hilo tayari limefika kwa babake Chuji mzee Idd Athman na mzee kafanya kikao cha pamoja kati ya mwanae(Chuji) pamoja na Ambari Mtoro(mchezaji wa zamani wa CDA) lakini Chuji akakivunja kikao kwa kumwambia babake kuwa yeye hatumii hayo mavitu kwani walishawahi kumwona?Kuona hivyo mzee Idd akasema basi mungu ndiye atakaye kuongoza kama kweli hutaki kuacha hayo maulevi.
Pamoja na Chuji kupata pesa kiasi Fulani pale jangwani hadi leo hana hata kiwanja cha kupakaziwa si DSM wala Dodoma,na akifika Dodoma yeye analala kwenye nyumba ya bababe pale Nkuhungu.
Kwa mujibu wa Alela,kocha wa Yanga(Papic) alimpigia simu baba Chuji na kumweleza hali ya mwanae na kuwa hata kuachwa kwaake timu ya taifa ni kutokana na maulevi hayo,akamwomba wamsaidie kuokoa hali ya Chuji kwani anapoelekea si kwema.
Hivi sasa Chuji akijikuna anatoka vipele huku analalamika eti ni sababu ya mazoezi ya kocha mzungu,amesema Alela.
Ndugu zangu wana jamii tafadharini nawaomba sana tumuokoe huyu kijana kwani wenzie wengi kama Christopher Alex Massawe tayari wamehathirika na hawawezi kurudia hali yao ya kawaida.