CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Salamu tu hakuna zaidi maana kuna watu tunafahamiana, tulipotezana baada ya watu wasiojulikana kutamalakiHii salamu tu ama?
Njema, ila sijakufahamu. At one time tuliamua watu wa Arusha na Tanga kutambuana na tukatembeleana way back in 2000 if not mistaken, are you one of them?Za masiku?
Hapana wanajf sijawahi kukutana nao kwa kutembeleana zaidi ya kukutana kibiasharanjema, ila sijakufahamu. At one time tuliamua watu wa Arusha na Tanga kutambuana na tukatembeleana way back in 2000 if not mistaken, are you one of them?
Just to say Hello to you all who we know each other!
Bado tunaishi tunamshukuru Mungu, maana miaka mitano nyuma lolote lilikuwa linaweza kutokea.
Kifo kilikuwa nyuma yetu awamu ya tanoSanaa ya kifo
Hii ni habari ngeni kabisa kwa wale watakaobahatika kusoma hii mada na pia wale wenye kupenda kujifunza vitu vipya ni sanaa ya kifo katika uhalisia wetu bila kuchanganya na doctrines za kiimani na kiasili. Kwenye mada nyingi tumeona uhayawani wa mwanadamu tumeona kwa sehemu kubwa jinsi kiumbe...www.jamiiforums.com
Sanaa ya kifo
Kilikuwa face to faceKifo kilikuwa nyuma yetu awamu ya tano
KabisaKilikuwa face to face
Alipotea jukwaaniZa masiku?
Alipotea jukwaani
Aamen.. God is gud alwaysSana
Wamepotea wengi
Juzi nimemwoma @Gorgeousmimi
Mungu aendelee kutulinda
Just to say Hello to you all who we know each other!
Bado tunaishi tunamshukuru Mungu, maana miaka mitano nyuma lolote lilikuwa linaweza kutokea.