Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaaha Hapana aiseeee43yrs [emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaaa haaaaa nimeenda mbali sana eti [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hahahaaha Hapana aiseeee
wapo humu weng tuMie natafuta mhenga mwenzangu ,ila bado cjapata
Kuwatambua na kuwapata ndio tatizowapo humu weng tu
nenda love connect mkuu wapo tele
Hahaha huko hapana mkuu,sina shida kihiivyonenda love connect mkuu wapo tele
hhahaah sawa mkuu!Hahaha huko hapana mkuu,sina shida kihiivyo
hahhah unataka kusema tunahajika kuanza kumeza dawa?MSITUNYANYAPAE!!!!!!!!!!Msitunyanyapae wahenga..
Wanaanza kututenga, BTW bado huna badge ya uhenga, subiri kidogo.hahhah unataka kusema tunahajika kuanza kumeza dawa?MSITUNYANYAPAE!!!!!!!!!!
Duh, tafadhali mkuu. Hili jiwe la manati kabisa.Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
lolWanaanza kututenga, BTW bado huna badge ya uhenga, subiri kidogo.
nyokolilo wewe!Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
Ssa we ulitkaje uwe pekyko au ndo nyny mnaopenda kupost upumbavu post upumbavu huuone maamuzi ye2Nimegundua hilo. Maana humu tangia nijiunge sijawahi kuona bandiko la kijana akitafuta mwenza umli chini ya miaka 28.
Mwanaume akitafuta mwenza kigezo umli 28-35
Mwanamke akitafuta mume umli ni 33-40
Kiufupi ni kwamba humu Jf 80% ni wahenga. Vijana wadogo wadogo wapo ila hawatafuti wachumba labda wanakufa na yao moyoni au ndo kuhangaika pm kimya kimya.
Jamani eehh vijana wenzangu age 20-28 humu tutakufa na ugumu bora turudi fb kwa kina mariamu hassani na juma kadala.
Nawasilisha
=======update==[emoji116] [emoji116]
Nakumbuka mwaka juzi wana Jf kutoka MMU walijitoa ufahamu wakaunda MMU whatsup kimbembe kwenye kutuma picha kuna Jamaa aliombwa aweke picha aligoma hadi mwezi unaisha siku rafiki yake kapost picha yake ni mtu mzima zaid ya 45yrs ilibidi wana MMU wamsalimie kwa adabu zote, next day Ali left baba Wa watu. wanaume wengi ni 30-40 yrs na wanawake ni 26-35 yrs ndiyo wapo humu.
ILa siyo mbaya ngoja tucheze nao ngote ngote
chungu tamu hiiSitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
Wewe una mwelekeo wa maisha?Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.