Jamani Tuseme ukweli, humu Jf hatujuani ila watu wazima ni wengi kuliko vijana

Haaaaa babu Asprin eeee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
 
Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
Duh, tafadhali mkuu. Hili jiwe la manati kabisa.
 
Ssa we ulitkaje uwe pekyko au ndo nyny mnaopenda kupost upumbavu post upumbavu huuone maamuzi ye2
 
ukweli mtupu
mie nipo nao whatsapp siku natuma pic yangu naambiwa heeeee kumbe we ni mdogo wangu wa tano kabisaaaaaa
 
Sitorudia kuonana na mwana Jf wa kike hata mmoja. Kila nayemuibukia kanizidi umri kuanzia 4yrs. Bora hawa mabro tuliofahamiana nao.
Midem mingi ya JF singo maza haina mwelekeo wa maisha ya ndoa.
chungu tamu hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…