Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Ccm na viongozi wa Awamu ya 5 ndio Mentor[emoji432] wa Mange Kimambi. Period.
 
Hamna mtu alieitetemesha Tanzania zaidi ya huyu dada,hata Iddi Amini hakuweza kufanya analofanya Mange,sifa zake apewe
 
mange ni mpambanaji kweli bt huwa anaaribu akianza kutukana watu watusi ya nguoni
 

anauza nyat* tu ughaibuni huyo hana lolote, labda hero wa kwako wewe.
 
A heroine?
 
Mangi yupo vizuri kukaa Nje ya Nchi kunafanya wengine wajielewe zaidi wengine Ubongo unadumaa kutwa kuongelea vijisent vyake...Lipumba na Mwakyembe si bora ya Mangi mara milioni...
Aantumia uhuru wa kupashana habari. Kwa sheria za USA, hakuna kosa kule. VIVA KIMAMBI
 
Hero wa familia yenu wewe mkeo na wanao.
Wote mnamshabikia huyu mtukana watu vichwa vyenu hakika vimejaa matope!
Shame on all of you idiots
 
But I can still hit it, I don't give a fook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…