Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Kuchoma kadi kwake kunamaanisha nini kwako?? A very simple logic you need to get around it.
 
Kwa kukwepa kodi ya ardhi? Ama kweli nyani haoni kundule.
 
Huyo aliyesema hivyo apelekwe milembe akapimwe akili hayuko sawa.
 


1k unred messages in a matter of hours when she just took a nap. Alafu asiwe hero
Hahah, 1k kweli huyu ni zaidi ya hero, watu wanatamani marekani kusiwe na usiku ili wale ubuyu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kumbe kwenda makanisa ma3 kwa one day na msikitini ilikua pretending
 
So true ni mpiga mbiu wa kipekee sana wakukumbukwa kwenye historia ya wapiga mbiu Tanzania
 
Mange ni shujaa
Anayebisha ana akili za kibashite bashite
 
Sure... sema wengi huwa wanajaji zaidi lugha anayotumia kuwasilisha ujumbe kuliko kile anachokiwasilisha...
 
 
Tulipofikia tukiambiwa tumchague mange au sizonje nitavote kwa mange bhaaaaaass
 

Matusi ya jana pale ubungo unayaweka kundi gani? Maana tulipindwa bila kilainishi
Mange ni hero!
 
Anatakiwa kuwa na kitengo chochote hapa Tanzania ili awe na Jukwaa. USA nayo mbali so sauti yake inachelea.
 
mange tyako tuuu yule hana lolote

unadhani kuwa watu hawana habari wanazo sana ndo wanao mpa uyo mange wako

tatizo ni sheria mbovu wee iseme tuu kama uwendi kunyia debe
We nae jitakyo tu.... Jaribu wewe kupost hizo habari uone!!
 
hebu nikuulize imekuwaje tangu jana mange kafuta clip zote za makonda kafunga nahiyo account? kama ulijifanya kiherehere za kukoment mambo ya kijinga your gone myfriend! anza kabisa kuandaa watu wa kukudhamini.
Utakuwa ni Mkolomije au Bashite... Mange yupi labda aliyefuta!!! Nenda kaangalie alichopost Muda machache uliopita bonge la songi
 
Hivi aliyewataja hadharani mapapa wauza unga sio shujaa na jasiri??? Hii ipo tz tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Papa gani aliyetajwa mkuu Bashitelization ni tatizo sana..... Wale makapuku ndio MAPAPA aseeee Tanzania ina tatizo sehemu
 
Ni wanamme wangapi wa dar wamepaza sauti zao kulalamika juu ya mkuu wa mkoa wao kma mange? Ukipata jibu utoe na idadi ya wanaime wote wa dar. Jibu utakalopata ni kuwa ao waliobakia hwana maana katika jamii ya dar
mkuu wanaume wa dar wanafanana na dada zao.ndo maana ukiona mwanamke anamimba dar ujue kajazwa na jamaa wa mikoani
 
Lkn je angekuwa anaishi tiizii angekuwa shujaa? Au ksbb anaishi ughaibuni?
 
Utakuwa ni Mkolomije au Bashite... Mange yupi labda aliyefuta!!! Nenda kaangalie alichopost Muda machache uliopita bonge la songi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aseeee lile song sio la nchi hii. Sipat pcha hyo Hotel yao ikipgwa mnada atakavyowawasha Motoooooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…