Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Kumbe nawe bogus kabisa!
Wewe hujui kuwa Mange anatumiwa tu na watu walio hapa nchini.
Wanafanya hivyo kwa ajili ya kuogopa mkono wa sheria. Hivi huyo Mange kule alipo anaota kuwa Tz kuna matukio gani kama si kuambiwa?
Mwanamume mzima na mbupu zake anakuja hapa eti Mange ni hero!
We utakuwa mwanamke kwanini wewe usisimame kama mange ufichue mambo ya serikali kwenda huko mange ni mwanamke wa shoka
 
Mbona hawakuletei wewe wanampelekea mange?
Alaf unaeza kuta unasingizia kijiwe cha kahawa wakat ni fikra zako mbof mbof

Na tusipokusahihissha now utaendelea kuwapandikizia RAIA fikra ozooo


It takes akili, blood and pain to be a hero


Watu wamekufa kwa ajili ya taifa
Wengine wamepoteza viungo n.k

Leo mtu aitwe hero for writting,

Utakuwa na ........
 
Kwenye UTANZANIAN HERO mtoe kabisa,tafuta nafasi ingine ya kumsifia kwa vile vizuri vichache anavyofanya na si kuweka vyote!

Maana akiamua kutukana utasema hana wazazi,akiamua kupamba utawaza na kufikiria siku ya harusi yake ilikuwaje!

Ni vyema ukawa na kiasi ktk kusifia! Japo ni kweli baadhi ya maswala anayaibua Mange yanaleta AMSHA AMSHA
Mange hana tofauti na hao wengine kina Snoopy na tupac ... Na kina Trevor Noah. Bill Maher etc ... ambao hutumia lugha za kiutu uzima kwenye "majukwaa yao".

For adults only ... Kama hujakomaa unaweza usimuelewe Mange.

Pamoja na kutoa taarifa, pia ni entertainer ... Lazima utacheka tu! Na haweki jambo lolote moyoni ... She's very open minded!/
 
kama vipi,pale askari monument wamuondoe yule askari,waweke sanamu la Mange- mashujaa wa namna hii utokea once in a lifetime
 
Matusi ni swaga tu kwani ukitukanywa unakufa au unabadilika
 
habari ya mali zao kupigwa mnada zishamchanganya tayari yaani hata kama si kweli ni bonge la blackmail. Atanyamaza tu soon. Usirushe mawe wakati upo kwenye nyumba ya vioo
 
Kuna kiongoz aliniuliza km natumia instagram nkamjib ndio akaniuliza tena umemfolow mange kimambi nkamdanganya sijamfolow akaniambia usiwe mzee fanya hima umfolow ujue nchi inaenda vp. Nkabak mdomo wazi.
Acha nikamfollow saiv pia
 
Mnaosema Mange si shujaa mbn hamtaji mnaowaona kuwa mashujaa kwa serikali hii???
Hamna lolote, asante sana shujaa wetu Mange Kimambi, bila ww tusingemjua bashite. Bila ww tusingejua kwamba kwenye nchi yetu Kiongozi Mkuu ana double standard, bila we tusingejua madudu mengi yanayofanyika.

Mungu akupe miaka mingi na akulinde

We love you Mange

Keep it up.
 
Back
Top Bottom