Ocean Media
Member
- Dec 16, 2015
- 93
- 82
hakuna hero mtukanaji dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamjua yy ndo akili mbl hana future that's y... Me nisingekubali kugeuzwa njia (barabara kuu)Mbona hawakuletei wewe wanampelekea mange?
Limama linamitusi hili kama limezaliwa gesti,sijawahi ona, hana staha kabisa!hakuna hero mtukanaji dunia
We utakuwa mwanamke kwanini wewe usisimame kama mange ufichue mambo ya serikali kwenda huko mange ni mwanamke wa shokaKumbe nawe bogus kabisa!
Wewe hujui kuwa Mange anatumiwa tu na watu walio hapa nchini.
Wanafanya hivyo kwa ajili ya kuogopa mkono wa sheria. Hivi huyo Mange kule alipo anaota kuwa Tz kuna matukio gani kama si kuambiwa?
Mwanamume mzima na mbupu zake anakuja hapa eti Mange ni hero!
Alaf unaeza kuta unasingizia kijiwe cha kahawa wakat ni fikra zako mbof mbofMbona hawakuletei wewe wanampelekea mange?
Mange hana tofauti na hao wengine kina Snoopy na tupac ... Na kina Trevor Noah. Bill Maher etc ... ambao hutumia lugha za kiutu uzima kwenye "majukwaa yao".Kwenye UTANZANIAN HERO mtoe kabisa,tafuta nafasi ingine ya kumsifia kwa vile vizuri vichache anavyofanya na si kuweka vyote!
Maana akiamua kutukana utasema hana wazazi,akiamua kupamba utawaza na kufikiria siku ya harusi yake ilikuwaje!
Ni vyema ukawa na kiasi ktk kusifia! Japo ni kweli baadhi ya maswala anayaibua Mange yanaleta AMSHA AMSHA
Acha nikamfollow saiv piaKuna kiongoz aliniuliza km natumia instagram nkamjib ndio akaniuliza tena umemfolow mange kimambi nkamdanganya sijamfolow akaniambia usiwe mzee fanya hima umfolow ujue nchi inaenda vp. Nkabak mdomo wazi.
sasa mkuu Na wewe unajikuta unamuelewa ,,mpaka akikosolewa unajambaa tuu,,kila mtu Na uelewa wakeMvuta bangi huwezi elewa
haha sina chama sipendi siasa kiivo ,,lakin Kama unamjua mange from the begin enzi za blog yake ,,utanielewa ,,mwanamama analugha kali Sana Na matusi ya hatarii
kwani mbowe sio papa? angekuwa kapuku msingejazana JF kumteteaPapa gani aliyetajwa mkuu Bashitelization ni tatizo sana..... Wale makapuku ndio MAPAPA aseeee Tanzania ina tatizo sehemu
aache matusi wakati ndiyo yanayomweka mjini siku akiacha hiyo K itakaukiwa majiMange ni Malkia wa nguvu, aache matusi tu