Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Mange ni shujaa,na anawasomesha namba, na akuja na ushahidi wala si majungu
Tatizo lake ni lugha kali sana inayoyokana na kujibu mapigo kwa wale wanaosema hawakuleta tetemeko wala katerero na njaa
 
The booty that ruined a nation...hehhehe hizi caption sio za nchi hii hakyanan lol
 
Leo nilkuwa sehem nakunywa khwa. Bwana mmoja alisema neno limenifikirisha sana. Huyo bwana aliropoka kuwa "kuliko kufa Mange kimambi ni bora wafe wanaume wa dar milion moja" Tuliangua vicheko vya kutosha ila baadye niliwaza sana hya maneno.

770267396df5dc6a2e855babd967a128.jpg


Yani kufa Mange Kimambi ni bora wafe watu million moja. Hii imenipa tafsiri kuwa mange kimambi kwa sasa anaplay part kubwa sana kama wistle blower hapa Tanzania.

Mange kimambe amekuwa kama chanzo kikubwa sana ya kuvujisha mambo ambayo yanatokea nyuma ya pazia ya serkali yetu.

Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.

Sasa Amekuwa si mtu wa kupuuzwa kama ilivyokuwa apo zamani. Ametusaidia watanzania wengi (Tunaojielewa) kuconnect dots. Wengi tumefunguka macho na masikio yetu. Tumegundua kuwa serkali ilikuwa unatusikilizisha na kutuonesha matango pori.

Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.

Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa.

Clauds walimchamba sana Mange, ila leo wanaona umuhimu wake.
Aiseeee shukuru sana sheria za kimtandao haki ya Mungu.
 
We nae jitakyo tu.... Jaribu wewe kupost hizo habari uone!!

Wewe nae ni tyako tuu tena kama la le mutuz na usipoangalia ntakutia mdudu wa sikio muone vile

Mange mange tangia aanze kusema umeona nini kimebadilika wakati mambo ndo yanazidi kuwa magumu

Mange uyo uyo ndo alikuwa anatetea ushoga uyo uyo alikuwa anatetea ky ziruhusiwe ili boya kama wewe uliwe
 
Mange ni shujaa tungepata watu wanaoishi nje hata 5 au 6 kama Mange ingekuwa vyema zaidi wengine hawana habari
 
Duuh! Angalau ungesema your hero sio Tanzanian hero, Yule mama Hana break matusi yakianza kumtoka utadhani choo cha Uswazi kimetapika, na coz ni mama wa nyumbani hana shughuli inayomuweka busy that's y anaropoka, kwatukana hao wakurungezi wa clouds Kama kahaba aliyenyimwa pesa yake
 
Im not in any side off politiki ya bongo,waliompa bashite wilaya ya kinondoni ndio walioharibu,kuhusu huyu mama ni wa kumwonea huruma tu,leo kasababisha ndg zake Hotel yao inauzwa huku the same day ana case custody ya wanae!and the way she think shes a hero na hao mburulaz wanaompa support pale insta,shes goin to lose big time custody .simple atafika pale na kuanza kuropoka swali ambalo hata hajaulizwa,atasema ni public figure Tanzanian Hero hata Hotel ya babaake imeuzwa kwa ajili anawatetea wa Tz.
Then direkt hakimu anajua huyu mwendawazimu,hana kazi ,hana biashara,hana lolote.
Mbaya zaidi ni kwamba yule mshkaji kazaa nae tuliaminishwa ni billionea yuko verry calm and smart.
Andaaeni mapokezi ya kitaifa ya huyu mama.
I, so sorry na wanae
 
Nyie mnaomponda mange,nani kati yenu amewahi hata kumkemea hawara anayechepuka na mumewe au mkewe ?waoga hata wa ndoa zenu,ndo mtaisema serikali inayokosea!anayetukana ni Mange au ni magu na bashite? Nuie mnaohalalisha hayo mahucano ya hawa watu wawili tuwaeleweje?mko sawa vichwani kweli !,bado tu hamuoni hiyo sodoma inavyoiangamiza nchi? Hakika nyie ni zaidi ya bashite !.Mungu saidia hawa viumbe wako,wanao ona dhambi inayoangamiza nchi kati ya bashite na magu kua sio ya kawaida ! Naomba cku moja wafanyiwe aliyofanyiwa Gwajima clauds,Bashe,msukuma Wema na wana ccm wengine,ndo watajua kua huo uhucano na kz ya serikali ni sumu.Mungu cpashwi kuomba vibaya,ila Baba hata Samsoni wa Delila,aliomba vibaya na ukamckia ukaangamiza wafilisti ndani ya lile jengo !nami naku c hi Mungu wangu,hawa wanaounga mkono Haya mahucano yanayoitikisa nchi,nickie safari hii tu.ninahakika hata Ww hii dhambi haikupendezi muumba wangu.tenda jambo,dunia ijue ni ngvu yako.Amen.
 
Kiukweli cmjui huyu Mange. Anaishi wapi? Na anapata wapi taarifa za yanayoendelea Tanzania? Huko aliko ana amkaa muda mmoja Na sisi? Nauliza tu lakini

Hapo ndipo ujue jinsi alivyo na mtandao mpana. Wewe uko Bongo lakini hujui anachokijua yeye huko MAJUU!

MangeKimambi endelea dada kutujuza maana UMUHIMU WAKO unatambulika. Wakikukamata na kukuweka ndani NITAKUWA WA KWANZA kuingia barabarani na kupinga kwa aina ya kipekee!

[HASHTAG]#UchocheziSikuanzaJuzi[/HASHTAG]
 
Nyie mnaomponda mange,nani kati yenu amewahi hata kumkemea hawara anayechepuka na mumewe au mkewe ?waoga hata wa ndoa zenu,ndo mtaisema serikali inayokosea!anayetukana ni Mange au ni magu na bashite? Nuie mnaohalalisha hayo mahucano ya hawa watu wawili tuwaeleweje?mko sawa vichwani kweli !,bado tu hamuoni hiyo sodoma inavyoiangamiza nchi? Hakika nyie ni zaidi ya bashite !.Mungu saidia hawa viumbe wako,wanao ona dhambi inayoangamiza nchi kati ya bashite na magu kua sio ya kawaida ! Naomba cku moja wafanyiwe aliyofanyiwa Gwajima clauds,Bashe,msukuma Wema na wana ccm wengine,ndo watajua kua huo uhucano na kz ya serikali ni sumu.Mungu cpashwi kuomba vibaya,ila Baba hata Samsoni wa Delila,aliomba vibaya na ukamckia ukaangamiza wafilisti ndani ya lile jengo !nami naku c hi Mungu wangu,hawa wanaounga mkono Haya mahucano yanayoitikisa nchi,nickie safari hii tu.ninahakika hata Ww hii dhambi haikupendezi muumba wangu.tenda jambo,dunia ijue ni ngvu yako.Amen.
jifunze kuandika kiswahili fasaha kwanza we mburulaz bin nyumbu,una ushahidi hayo unayoongea au ni bendera fata upepo tu,nyie watu wa namna hii sijui hata nani aliwafundisha kutumia mitandao
 
Sasa ngojaaa wampigee viziriiiiii atatuliaaa vizurii na kuimbaa "tumejipangaaa acha waisomeee nambaa"
 
Tusiongee tu angalau muwe mnamchangia kidogo buana hata pesa za airtime.
 
kabisa amesababisha bashite alie makanisani na kuvamia kituo cha radio kwa SMG
 
Back
Top Bottom