Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

May be
 

Attachments

  • Screenshot_20170414-182735.jpg
    Screenshot_20170414-182735.jpg
    54.5 KB · Views: 41
HERO ni neno la kiingereza lenye maana MTU anaefanya mambo ya ukombozi.......sio? achen ujinga huyo sio HERO muuza K tu......akina saanane,alphonce mawazo,lema,tundu tuwaite nani?
 
Kuliko mbwa wangu mlinzi afe bora hao waliompaisha kimambi watangulie
 
Mange ni mwanamama shujaa kuwahi kutokea Tanzania
Angekua shujaa kama angeyasema yote asemayo akiwa hapa Tz ndo ningeamini ni shujaa...we unamtukana mtu ukiwa umejificha afu wapuuz wakuite shujaa...labda wasiojielewa kama yeye ndo watamuita shujaa.
 
Ni wanamme wangapi wa dar wamepaza sauti zao kulalamika juu ya mkuu wa mkoa wao kma mange? Ukipata jibu utoe na idadi ya wanaime wote wa dar. Jibu utakalopata ni kuwa ao waliobakia hwana maana katika jamii ya dar
unajua alikuwa anamkashifu kwa sababu gani?usiwalazimishe watu wa dar wayafuate ya mange.alimkashifu lowasa sasa amegeukia kwa mkuu wa nchi jiulize amebanwa nini na wapi?
 
Kwa Tanzania heroes wa kuongea wapo wengi.
Tupe heroes wa kufanya
 
It doesn't matter what you do... what matters is How you do it.

Matusi mengi kwenye mambo ya msingi hayafai hata kidogo. Kuna saa unaweza soma post za huyo dada ukashindwa kula asee. She's too much.
 
Wanaume wa dar, kitu gani mmefanya? Hii dharau
 
Ukiachana na matusi yake.....the lady is so smart upstairs na anajua kuyapangilia madude yake, hiyo ipo wazi. I think we need more MANGES hata humu jukwaani....... Tumpe credit zake pale anapostahili.
 
Kawashika vilaza wengi sana na data zake za uongo
 
Back
Top Bottom