Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaidie tafadhalimtu mwenye akili timamu hawezi kumuita mange hero.. amtafutie jina lingine
Anastahili nishani ya ushujaa.Mange ni mwanamama shujaa kuwahi kutokea Tanzania
she has 1 million followers and counting,all these can't be wrong...at least she guts and secrets are kinda safe with herUnabisha nini wakati Mange ametuambia😀😀😀😀😀😀
Nyani vipi umeshatimuliwa? Kwa elimu yako unafaa u DC kazanaUnabisha nini wakati Mange ametuambia😀😀😀😀😀😀
she has 1 million followers and counting,all these can't be wrong...at least she guts and secrets are kinda safe with her
Inawezekana akawa whistle blower mzuri lakini tukumbuke information zote zinatoka huku nyumbani na anaowaumbua hawako kimya.Umeshuhudia walivyomlisha ndimu kuhusu Kinana kuwa Ulaya naye akaingia chaka.Leo nilkuwa sehem nakunywa khwa. Bwana mmoja alisema neno limenifikirisha sana. Huyo bwana aliropoka kuwa "kuliko kufa Mange kimambi ni bora wafe wanaume wa dar milion moja" Tuliangua vicheko vya kutosha ila baadye niliwaza sana hya maneno.
![]()
Yani kufa Mange Kimambi ni bora wafe watu million moja. Hii imenipa tafsiri kuwa mange kimambi kwa sasa anaplay part kubwa sana kama wistle blower hapa Tanzania.
Mange kimambe amekuwa kama chanzo kikubwa sana ya kuvujisha mambo ambayo yanatokea nyuma ya pazia ya serkali yetu.
Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.
Sasa Amekuwa si mtu wa kupuuzwa kama ilivyokuwa apo zamani. Ametusaidia watanzania wengi (Tunaojielewa) kuconnect dots. Wengi tumefunguka macho na masikio yetu. Tumegundua kuwa serkali ilikuwa unatusikilizisha na kutuonesha matango pori.
Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.
Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa.
Clauds walimchamba sana Mange, ila leo wanaona umuhimu wake.
Lakini si Kinana alikuwa "ametumwa kutibiwa"? Wenye akili za "kijinga" kama Mange walimwelewa Mange alikuwa sahihi wala hakuingizwa chaka!Inawezekana akawa whistle blower mzuri lakini tukumbuke information zote zinatoka huku nyumbani na anaowaumbua hawako kimya.Umeshuhudia walivyomlisha ndimu kuhusu Kinana kuwa Ulaya naye akaingia chaka.
La pili lugha anayoitumia ina ukakakasi mwingi kiasi ambacho inaondoa hata furaha ya jambo na hiki ni kilema chake.
La tatu aamue moja kutusaidia kueleza ya siasa na aache personality clashes na watu wengine katika same page ya instagram.
Binafsi namuona kama mtoto mtundu na nashangaa serikali ikipoteza nguvu kumfuatilia.
Kuna picha iliambatanishwa ikiaminiwa ni Kinana akiwa Ulaya (si India).Yeye amekiri ya kuwa kuna watu wanampotosha wakati mwingine.Lakini si Kinana alikuwa "ametumwa kutibiwa"? Wenye akili za "kijinga" kama Mange walimwelewa Mange alikuwa sahihi wala hakuingizwa chaka!