Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

Tanzania tushukuru kuwa na watu kama Mange, Lissu na Lema. Lasivyo nchi nzima tungebaki kama makondoo tu ya CCM
 
Huyo Mange ni hero wa wafuasi wake, mimi huwa naona habari zake kupitia JF sijawahi kuwa mfuasi wake wala kutembelea blog yake.

Vv
 
Mtanzania mwenzetu dada Mange Kimambi anayeishi Nchini Marekani atakuwa msaada mkubwa sana kwa Taifa hili hasa kwa kufichua maovu kwa kupitia njia zake za udukuzi. Kusema kweli kwa sasa kila mtanzania mwenye kujielewa hupata chai ya asubuhi kwa kupitia ukurasa wa mange.

Ki Msingi Mange anapewa Taarifa toka kwa watu walioko kwenye mifumo ya kiserikali waliochoshwa na dhuruma zinazoendelea katika Taifa letu.

Mange mimi binafsi nakuombea udumu sana katika kuendelea kuinyoosha Nchi.
 
Leo nilkuwa sehem nakunywa khwa. Bwana mmoja alisema neno limenifikirisha sana. Huyo bwana aliropoka kuwa "kuliko kufa Mange kimambi ni bora wafe wanaume wa dar milion moja" Tuliangua vicheko vya kutosha ila baadye niliwaza sana hya maneno.

770267396df5dc6a2e855babd967a128.jpg


Yani kufa Mange Kimambi ni bora wafe watu million moja. Hii imenipa tafsiri kuwa mange kimambi kwa sasa anaplay part kubwa sana kama wistle blower hapa Tanzania.

Mange kimambe amekuwa kama chanzo kikubwa sana ya kuvujisha mambo ambayo yanatokea nyuma ya pazia ya serkali yetu.

Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.

Sasa Amekuwa si mtu wa kupuuzwa kama ilivyokuwa apo zamani. Ametusaidia watanzania wengi (Tunaojielewa) kuconnect dots. Wengi tumefunguka macho na masikio yetu. Tumegundua kuwa serkali ilikuwa unatusikilizisha na kutuonesha matango pori.

Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.

Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa.

Clauds walimchamba sana Mange, ila leo wanaona umuhimu wake.
Inawezekana akawa whistle blower mzuri lakini tukumbuke information zote zinatoka huku nyumbani na anaowaumbua hawako kimya.Umeshuhudia walivyomlisha ndimu kuhusu Kinana kuwa Ulaya naye akaingia chaka.
La pili lugha anayoitumia ina ukakakasi mwingi kiasi ambacho inaondoa hata furaha ya jambo na hiki ni kilema chake.
La tatu aamue moja kutusaidia kueleza ya siasa na aache personality clashes na watu wengine katika same page ya instagram.
Binafsi namuona kama mtoto mtundu na nashangaa serikali ikipoteza nguvu kumfuatilia.
 
Huyo ni mtabiri wa Lowasa kasema akigombea 2020 atapigwa kama mtoto Mdogo
 
Inawezekana akawa whistle blower mzuri lakini tukumbuke information zote zinatoka huku nyumbani na anaowaumbua hawako kimya.Umeshuhudia walivyomlisha ndimu kuhusu Kinana kuwa Ulaya naye akaingia chaka.
La pili lugha anayoitumia ina ukakakasi mwingi kiasi ambacho inaondoa hata furaha ya jambo na hiki ni kilema chake.
La tatu aamue moja kutusaidia kueleza ya siasa na aache personality clashes na watu wengine katika same page ya instagram.
Binafsi namuona kama mtoto mtundu na nashangaa serikali ikipoteza nguvu kumfuatilia.
Lakini si Kinana alikuwa "ametumwa kutibiwa"? Wenye akili za "kijinga" kama Mange walimwelewa Mange alikuwa sahihi wala hakuingizwa chaka!
 
Lakini si Kinana alikuwa "ametumwa kutibiwa"? Wenye akili za "kijinga" kama Mange walimwelewa Mange alikuwa sahihi wala hakuingizwa chaka!
Kuna picha iliambatanishwa ikiaminiwa ni Kinana akiwa Ulaya (si India).Yeye amekiri ya kuwa kuna watu wanampotosha wakati mwingine.
 
Back
Top Bottom