Elections 2010 Jamani vipi kuhusu HALI YA AFYA YA MREMA?

Elections 2010 Jamani vipi kuhusu HALI YA AFYA YA MREMA?

Mm nafikiri Mrema ana afya bora kulinganisha na JK, kwa agewise mrema mzee JK bado anadai lakini mwangalie toka aanguke jangwani sijui kapatwa na nini au Shekhe Yahaya Hussein kamtema nini?
 
MZIMU WA MASHEHE WA TANZANIA UTAENDELEA KUMLA NA MWISHO KUMMALIZA LYATONGA MREMA BAADA YA KUWADHALILISHA NA KUWATESA KTK MAGEREZA YA TZ BILA YA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI NA MWISHO KUSABABISHA KIFO CHA IMAMU MASHUHURI WA MSIKITI WA MTORO DAR-ES-SALAAM KTK MIAKA YA 90!!!

SOURCE: MIMI MWENYEWE NA ZAIDI GONGA HAPA: http://www.igs.net/~kassim/an-nuur3/272/kale272.htm
 
labda hukumuona kitambo ndio maana kabadilika machoni mwako na pia uzee unachangia... he is a grapa nw! and grand pa`s .. die thats wht they do.. neways maisha magumu na uzee
 
:tape::A S angry::A S angry:Ijapokuwa ni haki ya wana inji kujua afya za viongozi wao, Lugha inayotumika dhidi yao ni kali na ya udhalilishaji. Nadhani ni vema tukawa na Lugha za kistaarabu sometimes. Haki ya kujua afya za viongozi wetu zilenge nia njema na sio kutaka kudhalilisha. Bahati mbaya sana naamini wengi wa wachangiaji hapa hawana utamaduni wa kupima afya zao hata vipimo vya msingi kama presha na sukari. Nyambafu zenu:nono::nono:
 
Mrema ameshakuwa mtu mzima na kadri umri unavyosogea na mwili nao unachoka na rahisi kushambuliwa na maradhi mbalimbali,hiyo ni hali ambayo kila mtu anaipitia.
 
Binafsi naamini Mzee huyu hawezi kumaliza mwaka ujao. Kwa ufupi, anaumwa ugonjwa zaidi ya mmoja. kwa nje ata kama mimi ni Mwl, nadhani anaugua cansa ya Ngozi.
 
Bwana Mrema ana ugua ugonjwa unaoitwa UKOWAFE ( Ukosefu wa Fedha). na pia Kisukari pamoja na ugonjwa wa ngozi. Yote haya yanatibika. Tiba ya Kwanza ni kuwa na chanzo cha uhakika cha Fedha. Hilo limepata ufumbuzi kwa kuingia mjengoni. Lakini kuna tetesi kuwa Mkulu anamteua kuwa Waziri ulaji tena. Hilo la Kisukari na Ngozi atakunywa Aloe vera gel na Food supplements Kibao; Nakwambia baada ya Miezi sita utashanga kuona MREMA au Mzee wa Kiraracha anakuwa kijana. Hizo suti zitamkaa. We acha tu. Mzee wa watu ameteseka sana ndio maana ameamua kurejea CCM kupitia mlango wa jikoni. Je kuna aliyemsikia akimpigia Kampeni Mgombea yeyote wa TLP? Hapana. Sasa hapa ujue kuna jambo. Siasa ni Mtu kula.
 
Bwana Mrema ana ugua ugonjwa unaoitwa UKOWAFE ( Ukosefu wa Fedha). na pia Kisukari pamoja na ugonjwa wa ngozi. Yote haya yanatibika. Tiba ya Kwanza ni kuwa na chanzo cha uhakika cha Fedha. Hilo limepata ufumbuzi kwa kuingia mjengoni. Lakini kuna tetesi kuwa Mkulu anamteua kuwa Waziri ulaji tena. Hilo la Kisukari na Ngozi atakunywa Aloe vera gel na Food supplements Kibao; Nakwambia baada ya Miezi sita utashanga kuona MREMA au Mzee wa Kiraracha anakuwa kijana. Hizo suti zitamkaa. We acha tu. Mzee wa watu ameteseka sana ndio maana ameamua kurejea CCM kupitia mlango wa jikoni. Je kuna aliyemsikia akimpigia Kampeni Mgombea yeyote wa TLP? Hapana. Sasa hapa ujue kuna jambo. Siasa ni Mtu kula.

We Bwana wavunja mbavu wenzio!
Teh Teh Teh, Hahahaha! Hihihihi oh!
 
ukiona anaanza kucheza dansi hata rais wa nchi basi kiasi fulani kafarijika lakini haisaidii!!!
gonga hapa umuone mrema akidansi na jk KTK HAFLA MAALUM KWA AJILI YA WABUNGE!!!! :

mrema na jk.jpg
 
ndo maana ukaitwa binadamu
hutoishi milele na hutoamua uumwe nini wala uumwe lini
ndiyo maana kuna dawa na madaktari
hebu ingia JF Doctor uulizie
kama bado wataka humuhumu waulize wana VUNJO waliyempa kura
 
binafsi naamini mzee huyu hawezi kumaliza mwaka ujao. Kwa ufupi, anaumwa ugonjwa zaidi ya mmoja. Kwa nje ata kama mimi ni mwl, nadhani anaugua cansa ya ngozi.


wewe si mungu useme hatomaliza mwaka ujao!! Hamna mwenye garantii dunia hii ndugu yangu na ukumbuke kuumwa si kufa!!!!!!!!!!!!!
 
Jamani huyu mzee anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari
 
Binafsi naamini Mzee huyu hawezi kumaliza mwaka ujao. Kwa ufupi, anaumwa ugonjwa zaidi ya mmoja. kwa nje ata kama mimi ni Mwl, nadhani anaugua cansa ya Ngozi.

Angalia sana mkuu,unaweza kufa ukamuacha!!
 
Jamani huyu mzee anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari

ni kweli kabisa. Kuna dawa za kisukari kali sana ambazo zinaonyesha side effects mpaka kwenye ngozi. Nimeshaona wagonjwa wa kisukari kama Mrema. However, ipo cream/mafuta wanarecommend ambayo inasaidia kuondoa iyo hali ya ngozi lakini nasikia ni ghali saana. Sasa sijui kama Mh. Mrema anahabari ya hayo mafuta au hajataka kutumia au vipi.
 
Sina nia ya kuchimba mtu kwa saana, lakini picha za hivi karibuni za huyi Muhishimiwa Mrema naona kama mzee kazoofu hivi ama macho yangu tu?


Kamulize daktari wake au Mrema mwenyewe utapajibu lililosahii zaidi kuliko majibu utakayopata hapa.
 
nakutakia afya njema mheshimiwa mrema, juhudi zako tunaziona, sasa huku vunjo tunalala mlango wazi, majambazi yamehama. utakuwa mbunge wetu wa maisha, na ikiwezekana andaa mtoto wako tutampa ubunge kwa heshima yako, uliyotufanya huko nyuma ni mengi mno
 
Back
Top Bottom