Jamani wana jamii mchango mnisapoti natarajia kufunga ndoa

Wewe una tsh ngapi!?
Na unataka kufunga ndoa kwa gharama gani!?
Halafu sema harusi ndoa haina gharama

DJ sepetu
Nadhani anataka mchango wa HALI na si mchango wa MALI, usimlishe maneno ahaaaaa...toa mchango wa mawazo mkuu
 
Kweli kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…