Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

Unataka kufungua duka?
 
Daaahhh, nimerusha vocal romantic kwa hao wote ila naona wanaruka tu viunzi.

Nilijaribu kumuiga hayati kwenye vocal zake, nikagonga mwamba pia.

Labda unishauri kingine.....
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huwa naenda kusalimia mgonjwa na jogoo lililoshiba mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…