Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

MTU akiumwa tunaenda kumsalimia na mchele kili 10 ,mafuta Lita 5,nyama kilo 6 maharage kilo 5 nyanya, vitunguu na viungo vya pilau [emoji39][emoji39][emoji39]Nakama tumekubaliana tuanze kesho maana mimi mwenyewe najihis homa hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka kufungua duka?
 
Daaahhh, nimerusha vocal romantic kwa hao wote ila naona wanaruka tu viunzi.

Nilijaribu kumuiga hayati kwenye vocal zake, nikagonga mwamba pia.

Labda unishauri kingine.....
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom