Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

Jamani wanaJF me naomba tuanzishe mpango mmoja huu

MTU akiumwa tunaenda kumsalimia na mchele kili 10 ,mafuta Lita 5,nyama kilo 6 maharage kilo 5 nyanya, vitunguu na viungo vya pilau [emoji39][emoji39][emoji39]Nakama tumekubaliana tuanze kesho maana mimi mwenyewe najihis homa hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa kiongozi wa social welfare umesomeka
 
Back
Top Bottom