Sorry Sana kwa wale ntakao wagusa leo nilikua napitia video huko YouTube nikakutana na video moja ikimuonyesha ZARI akiwa anasubiriwa na maandamano ya watu eneo la mlimani City chaajabu ni Kwamba hata wanaume walikua miongoni mwao waliokuwa wakimngoja Kwa kwel sio tabia nzuri fanyeni vitu vya maana