Jamani yani siamini kama wizara ya afya haijanichagua..!

Jamani yani siamini kama wizara ya afya haijanichagua..!

we usimtishe mwenzio coz kwa pas hizo anaweza fanya kitu ktk uwanja wa afya na akaokoa taifa .hakuna coz rahis we ----- !!!afaulu vp na shule hiz za kata ????huenda ndo wa kwanza camp kwao na bidii yake ipo poa ishu ni mazingira ya usomaj na sio matokeo .je hujui kuwa zahanat kibao mabush zina nesi mmoja tu na anafanya kaz zote hapo kituoni yaan udaktar , unesi na vipimo??upo nchi gan weye !??mwanangu komaa na dream yko mungu atajibu coz hata usipoenda muhimbil hku bush unahitajika sana uweze okoa taifa kwa elimu hiyo tu uliyonayo .....komaa sanna mpaka kieleweke !!!!

Udakitari si kama uana siasa. Huyu jamaa mnampatia moyo bure wakati yeye kwenye hayo masomo ni kilaza. Nasimamia ushauri wangu, tafuta kozi rahisi.
 
Udakitari si kama uana siasa. Huyu jamaa mnampatia moyo bure wakati yeye kwenye hayo masomo ni kilaza. Nasimamia ushauri wangu, tafuta kozi rahisi.

Acha ushamba kilaza wewe...huyo anaenda kusoma diploma...na kwa taarifa yako muhas kuna kozi kibaooo za diploma...acha dharau na kebehi...tuulize tunaokijua chuo sio kuropoka tu
 
Niliomba muhimbili diploma sikuchaguliwa,niliomba wizara hawajanichagua,nimejaribu kutuma maombi ya pili muhimbili private sponsership form 4 physics C,Biology C,chemistry C na form 6 physics f,biology E,chemistry E,..Yaani sijui kama muhimbili watanichukua kwa awamu ya pili!na muhimbili competition ni kubwa?je nifanyeje mimi?wadau naomba msaada wa mawazo please!thanx!

Ngoja nikuambie..usikate tamaa umeomba kozi gani pale muhas.??? Ninavyoamini kwa second selection diploma utapata cha muhimu ni ufuatiliaji cz watu wengine huwa hawaripoti chuo so nafasi zenu mnapewa nyie..nenda chuoni fuatilia kila kukicha na utafanikiwa...na ukitoka pale kusoma umewiva na ajira ht hutopata shida...cha muhimu fatilia
 
Niliomba muhimbili diploma sikuchaguliwa,niliomba wizara hawajanichagua,nimejaribu kutuma maombi ya pili muhimbili private sponsership form 4 physics C,Biology C,chemistry C na form 6 physics f,biology E,chemistry E,..Yaani sijui kama muhimbili watanichukua kwa awamu ya pili!na muhimbili competition ni kubwa?je nifanyeje mimi?wadau naomba msaada wa mawazo please!thanx!

Tafuta kozi nyingine za maana za kusoma, maisha sio huko tu. Hao wenyewe waliosoma mambo hayo ndio kila siku migomo na malalamiko ya maslahi duni, wewe unataka kujipeleka hukohuko! Panua fikra zako, maisha ni zaidi ya hizo chemistry na biology zako. Angalia viwanja vingine achana na hizo shida.
 
Acha ushamba kilaza wewe...huyo anaenda kusoma diploma...na kwa taarifa yako muhas kuna kozi kibaooo za diploma...acha dharau na kebehi...tuulize tunaokijua chuo sio kuropoka tu

Nadhani wewe ni miongoni mwa wanafiki. Mnampotezea muda jamaa kwa kumuaminisha aendelee kukomaa na vitu ambavyo vinaonekana kushindikana.
 
Back
Top Bottom