bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Avute chuma IngineSasa ndo kamuacha mzee,anazeeka peke yake?
Upo sahihi, tulitengana na wife nikijua kabisa bado tunapendana , na mpaka Leo nampenda.Ukiona mwanaume anamuacha mke wake Sio kwamba kapenda
NAKAZIA HAPAKataa ndoa
Asilimia 90 ya watu wanaopeana talaka baada ya miaka yaani wakikua Huwa wanatamani kurudiaana sema tu ndo hivyo waliachana kwa aibuUpo sahihi, tulitengana na wife nikijua kabisa bado tunapendana , na mpaka Leo nampenda.
Umewahi kukumbatwa kichwa mapajani?Gold digger lile
Babu aliruhusu tamaa za mwili zitawale kichwa...
King Kong III unajua josephine alipo? Anatafutwa huku
Kichwa kipi?Umewahi kukumbatwa kichwa mapajani?
Kichwa kichwaKichwa kipi?
Kwenye ile nyumba yao? Au waliuzaHahahahaa Yupo Mbweni JKT kabla haujafika Kambi ya Simba.