Jamani yupo wapi "First Lady" Josephine Mushumbushi (Mrs Dr Slaa)

Kuna muda huwa hutumii akili kutoa neno.Unasukumwa kimtazamo wako utokao nafsini mwako tu.
 
Picha bas ya mashombusi story zake sio mchezo?
 
Picha bas ya mashombusi story zake sio mchezo?
Muhaya Muhasibu, toto toto kweli halafu mixer mjanja mjanja

aliposikia mikakati ya 2010 ya kuingia Ikulu akajua anaenda kuwa first lady akamtema Jamaa yake don wa Bandari akamvaa Padri wa zamani, akajifanya Chadema kuliko Mbowe na Mzee Mtei
hadi akapasuliwa na Ffu na picha zake Zika trend,Chadema wakajichanganya wakampa kazi ya kusimamia mchakato wa kupata Accounting package ya kuendesha operation na reporting ya fedha ya Chama, akawatandika Mamilion

Namfananisha na Simbaulanga wa enzi zetu aliekomba mamilion ya fedha za NBC miaka ya mwisho ya 1980s
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…