Watu mna manenoHali ya Sasa yamzee na Josephine wapi nawapi ,Mzee wetu kabaki na akili TU
Kwa umri wake, amerudi kwenye upadri wa kweli
Kwenye ile nyumba yao? Au waliuza
Naifahamu hiyo houseNdama Mutoto ya Ng'ombe alirudisha kwa wenyewe(Dr Slaa) baada ya kurudishiwa pesa aliyonunulia kwenye Mnada.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hali ya Sasa yamzee na Josephine wapi nawapi ,Mzee wetu kabaki na akili TU
Kwa umri wake, amerudi kwenye upadri wa kweli
Kuna muda huwa hutumii akili kutoa neno.Unasukumwa kimtazamo wako utokao nafsini mwako tu.Rose Kamili unamjua vizuri? Ukiona mtu kaachana na mkewe wakati mwingine analazimika tu sio kwa kupenda. Josephine Mushumbusi ndo alisababisha CHADEMA walaanike kwa kutojali damu yake aliyoimwaga kwenye vurugu za tarehe 05/01/2011 kule Arusha wakati akitetea chama. Kitendo cha CHADEMA kumtukana hawara wa Josephine kiliiimaliza CHADEMA hadi leo.
Mimi zamani nilikuwa siamini kama laana ya hawara wa mtu inaweza kukupata ila kwa jinsi CHADEMA ilivyovurugwa nimekuja kuamini laana ya hawara wa Slaa inafanya kazi kwa CHADEMA.
Kwani CHADEMA hawakumtukana Josephine na Dr Slaa?Kuna muda huwa hutumii akili kutoa neno.Unasukumwa kimtazamo wako utokao nafsini mwako tu.
Ila mzee wahuni wanamchapiaKamama karembo haka...View attachment 2729434
Picha bas ya mashombusi story zake sio mchezo?Mzee Slaa alimpora yule Mushumbusi kwa Port Manager pale Bandarini baada ya kupata msukosuko kazini
nae alipopata Msukosuko wa kurudishwa kutoka Ubalozini Mzee Slaa nae akaporwa Mushumbusi
Hasira za Slaa kwa Serikai zina mambo mengi sana ikiwemo hili la kusababisha kupoteza kazi na Hawara kwa wakati mmoja
Kwa kifupi alienae Mushumbusi hivi sasa anatakiwa ailinde sana kazi yake, maana akipoteza kazi automatically na Mushumbusi anapotea
Kwa hiyo ndo wana mgombania huyo bibi?
Muhaya Muhasibu, toto toto kweli halafu mixer mjanja mjanjaPicha bas ya mashombusi story zake sio mchezo?